Unaweza kuta ushajiliza kunako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Looh yaani bora hata wewe kuna muda una log off mimi nipo humu humu lakini bado napitwa yaani kitendo cha kwenda pm tu kurudi nakuta watu walishatuma picha na walishazifuta walishasalimiana na walishapeana michapo kama yote nabaki naduwaa tu haki huu uzi uko na speed ya mwanga
Mimi Nilitoka tu kidogo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134].Yani huu uzi ukitoka tu ukirudi comments buku tayari mweeh
[emoji1787][emoji23][emoji1787] kwa heri
Mimi Nilitoka tu kidogo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134].
Ngoja na Mimi yangu nitaweka sekunde chache[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona huyu mlozi kaja na mbinu mpya ya kuchukua misukule JF wote mliopost picha zenu kuanzia leo mnakuwa misukule mitiifu ya mlozi Mshana Jr
[emoji3526][emoji3526][emoji120][emoji120]
Ila picha yako sijaiona bado.
Nitumie Mimi basi..Fanyia kazi ulizoziona, yangu ipo tu.
Nataka na Mimi muisake yangu...Kama kapeace alivyosababisha nitoe macho kutafuta picha aliyokwisha futa[emoji24][emoji24][emoji24]Unitag kabla hujaifuta mweeh
Nataka na Mimi muisake yangu...Kama kapeace alivyosababisha nitoe macho kutafuta picha aliyokwisha futa[emoji24][emoji24][emoji24]
Ukipeleka tu jicho pembeni naiweka[emoji23][emoji23][emoji23]Haha sawa ileteee
Uzi unatembea ila tatizo watu wanafuta picha