Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Looh yaani bora hata wewe kuna muda una log off mimi nipo humu humu lakini bado napitwa yaani kitendo cha kwenda pm tu kurudi nakuta watu walishatuma picha na walishazifuta walishasalimiana na walishapeana michapo kama yote nabaki naduwaa tu haki huu uzi uko na speed ya mwanga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Au huna koneksheni.
Mm nimeumia kwanini hawajanitag
 
Naona huyu mlozi kaja na mbinu mpya ya kuchukua misukule JF wote mliopost picha zenu kuanzia leo mnakuwa misukule mitiifu ya mlozi Mshana Jr
 
IMG_3606.JPG
mimi picha yangu hiyo
 
Back
Top Bottom