Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Siri ya kitambi Changu ni kufukia ugali wa kutosha,,asubuhi unamalizia kiporo na maharage.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu ukajisingizia kitambi[emoji134][emoji134][emoji134]
Hebu nipe siri ya mafanikio. Ila tu usiniambie nisile ugali tafadhali.
Utatuma enh??[emoji23][emoji23][emoji23]
Asijali, atatumiwa pm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wakifuta picha siumii kivile ila sio Atoto na Saint anne [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]haiwezekani yaani.
Wakiyaweka patakuwa hakuna utofauti unaofanya watu waweke chaguzi either kwa app or browser.Yeah mimi mwenyewe sababu ya kutotumia browser ni vile naona inanichosha tu hakuna sababu nyingine ila huwa najiuliza kwanini yale yote yaliyoko kwenye browser wasiyaweke na kwenye app tu
Na Dada sakayo 😂Kuna watu wakifuta picha siumii kivile ila sio Atoto na Saint anne 😀😀😀😀haiwezekani yaani.
Bora tuliochelewa nyumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa mimi sijui ni abiria wa aina gani yaani kweli bus inanipita huku nimesimama hapo hapo stand kweli bora hata ningekuwa home ningesema nilichelewa
Unamdanganya Hawachi ambae hakuona picha?Siri ya kitambi Changu ni kufukia ugali wa kutosha,,asubuhi unamalizia kiporo na maharage.
Huwezi amini nakula kila kitu..ila skert huwa sipati size ya kiuno maana Ni bonge la kitambi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaamini?Utatuma enh??
Wenye vitambi huwa hatusemi.Siri ya kitambi Changu ni kufukia ugali wa kutosha,,asubuhi unamalizia kiporo na maharage.
Huwezi amini nakula kila kitu..ila skert huwa sipati size ya kiuno maana Ni bonge la kitambi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ungejua zangu zilivyo hata usingejichosha kuumia[emoji1787][emoji1787]Kuna watu wakifuta picha siumii kivile ila sio Atoto na Saint anne [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]haiwezekani yaani.
Kwa hiyo nawe umeamua kunidanganya ila hata hicho kidevu sio mbaya kizuriChambua taratibu utaikuta[emoji23][emoji23]
Jamani siyo vizuri wewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeghairi maana hautoamini.
Una akili sanaWakiyaweka patakuwa hakuna utofauti unaofanya watu waweke chaguzi either kwa app or browser.
Browser is the best [emoji91][emoji91]
Unazijua pages za browser zilivyojipanga??
Huku ni mwendo wa next page.Unazijua pages za browser zilivyojipanga??
Hebu tuoneWenye vitambi huwa hatusemi.
Tupo huku tumejinyamazia [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wenye vitambi huwa hatusemi.
Tupo huku tumejinyamazia [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijakudanganya picha ipo kweliKwa hiyo nawe umeamua kunidanganya ila hata hicho kidevu sio mbaya kizuri
Wewe mwenyewe Nina mashaka hukuonaUnamdanganya Hawachi ambae hakuona picha?
Sakayo si aliweka ya uwongo watu wakachomoa betri au aliweka nyingine.Na Dada sakayo 😂