Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu ukajisingizia kitambi[emoji134][emoji134][emoji134]
Hebu nipe siri ya mafanikio. Ila tu usiniambie nisile ugali tafadhali.
Siri ya kitambi Changu ni kufukia ugali wa kutosha,,asubuhi unamalizia kiporo na maharage.
Huwezi amini nakula kila kitu..ila skert huwa sipati size ya kiuno maana Ni bonge la kitambi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli kabisa mimi sijui ni abiria wa aina gani yaani kweli bus inanipita huku nimesimama hapo hapo stand kweli bora hata ningekuwa home ningesema nilichelewa
Bora tuliochelewa nyumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siri ya kitambi Changu ni kufukia ugali wa kutosha,,asubuhi unamalizia kiporo na maharage.
Huwezi amini nakula kila kitu..ila skert huwa sipati size ya kiuno maana Ni bonge la kitambi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye vitambi huwa hatusemi.
Tupo huku tumejinyamazia 😂😂
 
Back
Top Bottom