Selfika na JF: Snap it. Show it

Relax achana nao
 
Wanaozijua dollar wanamshangaa yule mluga luga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Haya
Mimi muuza ndizi yawezekana sizijui
Wamekuja wanaozishika muda wote.

Hadi team yake wanamshangaa alivyoenda chaka 2 chaka🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Haya
Mimi muuza ndizi yawezekana sizijui
Wamekuja wanaozishika muda wote.

Hadi team yake wanamshangaa alivyoenda chaka 2 chaka🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Team yake nao hawazijui wamebaki kutoa maneno ya shombo na chuki kibao.!! 🀣🀣🀣

Nkamu wewe mjanja ila unaplay low key kuwafanya wajuaji wajione wajinga, sasa zile dollar kashtuka vile siku nikijizima data nimuonyeshe ndinga ninayosukuma si ndo atatafuta yard aje kujifariji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jf kuna watu wana stress, ndiomana kuna siku kantry alisema umezidi kujidogosha hawa inatakiwa uwaonyeshe advertise nikapotezea.!! Kwa pipo za humu na chuki zao wanaweza kukutupia hata jini makata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
😍😍😍 mno nitaweka order ya 50,000 ila isiwe na icing sugar, nataka nitunze kwenye friji na machocolate yangu niwe naibugia na juice
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Nkamu huyooo
Inakuwa empty kama hii
Hakuna icing sugar hata kidogo
 

Attachments

  • IMG-20240208-WA0013.jpg
    53.9 KB · Views: 5
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nkamu watu wasije kuzimia🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…