Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila watu mna stress aisee.!!
Wengine mmetoka mapangoni kisa dollar ambazo haziwahusu na ushauri mnatoa.!!
Kweli wabongo ndio watu pekee Africa tunaongoza kwa kutokuwa na furaha, imagine mpk jike shupa linaonea wivu pesa zisizomuhusu, si ulete zako sio nye nye nye nyingi.!! Pesa chache hizo mapovu mengi yanawatoka.!!

Halafu nasikia kuna connection mpya ya 😼
Relax achana nao
 
My time right now, just feel good
 

Attachments

  • 20240804_223042.jpg
    20240804_223042.jpg
    3.6 MB · Views: 5
Wanaozijua dollar wanamshangaa yule mluga luga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Haya
Mimi muuza ndizi yawezekana sizijui
Wamekuja wanaozishika muda wote.

Hadi team yake wanamshangaa alivyoenda chaka 2 chaka🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Haya
Mimi muuza ndizi yawezekana sizijui
Wamekuja wanaozishika muda wote.

Hadi team yake wanamshangaa alivyoenda chaka 2 chaka🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Team yake nao hawazijui wamebaki kutoa maneno ya shombo na chuki kibao.!! 🀣🀣🀣

Nkamu wewe mjanja ila unaplay low key kuwafanya wajuaji wajione wajinga, sasa zile dollar kashtuka vile siku nikijizima data nimuonyeshe ndinga ninayosukuma si ndo atatafuta yard aje kujifariji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jf kuna watu wana stress, ndiomana kuna siku kantry alisema umezidi kujidogosha hawa inatakiwa uwaonyeshe advertise nikapotezea.!! Kwa pipo za humu na chuki zao wanaweza kukutupia hata jini makata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
😍😍😍 mno nitaweka order ya 50,000 ila isiwe na icing sugar, nataka nitunze kwenye friji na machocolate yangu niwe naibugia na juice
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Nkamu huyooo
Inakuwa empty kama hii
Hakuna icing sugar hata kidogo
 

Attachments

  • IMG-20240208-WA0013.jpg
    IMG-20240208-WA0013.jpg
    53.9 KB · Views: 5
Team yake nao hawazijui wamebaki kutoa maneno ya shombo na chuki kibao.!! 🀣🀣🀣

Nkamu wewe mjanja ila unaplay low key kuwafanya wajuaji wajione wajinga, sasa zile dollar kashtuka vile siku nikijizima data nimuonyeshe ndinga ninayosukuma si ndo atatafuta yard aje kujifariji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jf kuna watu wana stress, ndiomana kuna siku kantry alisema umezidi kujidogosha hawa inatakiwa uwaonyeshe advertise nikapotezea.!! Kwa pipo za humu na chuki zao wanaweza kukutupia hata jini makata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nkamu watu wasije kuzimia🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom