Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hee
Halafu kipipa si alikuwa shosti yako? 🤣🤣🤣
Nilikuwa namuona ulipo yupo kujifanya anakujua sana.!!
Nikasema hapa kuna unafkilazition unaendelea 🤣🤣
Jf imetuletea watu version ya vipipa toka lini 😂😂😂😂
Akiyanani



Yanga bingwa💚💛🔥🔥
 
Hii app mpya mnatumiaje wenzangu
Mimi nashindwa kuona nyuzi kabisa
Yaani ni mateso.


Aisee
Kivumbi na jasho
Matajiri watoana roho kwa kugombania vocha😂😂😂😂😂😂😂

Kumbe hadi matajiri Wana hizi tabia za kuvamia vocha
Huko ndio utajua umuhimu wa fake ID
 
Kumbe ndio maana😂😂😂😂😂😂😂
Chaaa
Jamani
Kuliko vocha za sandakalawe
Heri kuzingusha ndizi aiseee

Tajiri wanasubiri kupambania kombe la vocha
No wonder wanauliza keki za elfu7
Labda bumunda.

Ni huzuni.
Nuzu kasema mods wapiga marufuku eti nyuzi zinakosa wachangiaji watu wako busy na vocha 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom