Selfika na JF: Snap it. Show it

Hee
Halafu kipipa si alikuwa shosti yako? 🀣🀣🀣
Nilikuwa namuona ulipo yupo kujifanya anakujua sana.!!
Nikasema hapa kuna unafkilazition unaendelea 🀣🀣
Jf imetuletea watu version ya vipipa toka lini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Akiyanani



Yanga bingwaπŸ’šπŸ’›πŸ”₯πŸ”₯
 
Ningekuwa nishadaka vocha nyingi sana maana nimebobea kwenye sekta hiyo ya kuwahi

Ngoja nikawapore matajiri vocha
Wasije kujinyonga bure
Ngoja nikutumie link ya zamani unakosa uhondo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huko ndio utajua umuhimu wa fake ID
 
Kumbe ndio maanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Chaaa
Jamani
Kuliko vocha za sandakalawe
Heri kuzingusha ndizi aiseee

Tajiri wanasubiri kupambania kombe la vocha
No wonder wanauliza keki za elfu7
Labda bumunda.

Ni huzuni.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huoni uzi umepoa matajiri wapi huko macho kodo vocha zisiwapite
 
Kumbe ndio maanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Chaaa
Jamani
Kuliko vocha za sandakalawe
Heri kuzingusha ndizi aiseee

Tajiri wanasubiri kupambania kombe la vocha
No wonder wanauliza keki za elfu7
Labda bumunda.

Ni huzuni.
Nuzu kasema mods wapiga marufuku eti nyuzi zinakosa wachangiaji watu wako busy na vocha 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…