Id yangu ile ban π€£π€£π€£Utume na vya pm Kama kweli nilichat nae
Ukisema wote unakosea,simfahamu huyu kiumbe....zaidi ya kutaniana Kama wengine...leteni vya pm tuone hata hi tumewahi peana labdaId yangu ile ban π€£π€£π€£
Wee huyo kawavua nguo mnaonekana wa hovyo wote πΉπΉπΉ
Kaka,nimesurrender...Sina hamu...yaan Sina hamu.Yaan hata kifo kimkute tu...popote pale...yaan popote paleπNawaambia siku zote nyie kina dada acheni mazoea na huyu mkaanga chips mnachat utani tu anachukulia serious
Kwanza mnamtakaje huyo bonge lisilo na pesa ya vocha?
Mbona leo kasema kwenye huu huu uzi kuwa wewe ni mshamba huna maji, na huyu manzi anajiita feki p Fake P akimuomba huwa anampa k..huu huu uzi mda fulani hviUkisema wote unakosea,simfahamu huyu kiumbe....zaidi ya kutaniana Kama wengine...leteni vya pm tuone hata hi tumewahi peana labda
Pole dada punguza mazoea mengine si ya kuzoea kabisa kuharibiana moodJamani,huyu kijana ni mbaya sana...hata sura simfahamu kaka
Tena ndiyo alikuwa mtoa shukrani muda wote.Sawa,hiyo hatushangai huenda Hana hela ya vocha Kama mie...lakini Nini hii kuumiza watu kimakusudi?Poleni sana wanaume kama mabinti na sasa naona anamtagg dem fulani hv ipo siku atamuumbua,,
Muomba vocha anawasema wenzie wanamuomba vocha pyumbavu yeye na uk.. wake
Hakika,yaan kabisaπPole dada punguza mazoea mengine si ya kuzoea kabisa kuharibiana mood
DaahNdo imeniponza,hastahili kuchekewa kabisa...ameumiza wengi ...japo mi ndo Sana Ila nilikuwa napuuza
Mkuu upo? π€£π€£Nawaambia siku zote nyie kina dada acheni mazoea na huyu mkaanga chips mnachat utani tu anachukulia serious
Kwanza mnamtakaje huyo bonge lisilo na pesa ya vocha?
Nipo sambamba huyu anaekaa kwa muarabu wake huko kig na kuchafulia watu majina wakati hawezi kituMkuu upo? π€£π€£
Kunywa bia huo mekuNini shida urassaππ
Mkuu unampaje baraka mtu kama huyoVincenzo Jr Mwenyezi Mungu akubariki Sana.....Ila usipende kuongea uongo ili upewe attention.....mi To yeye wa hivihivi....unichukie Usinichulie...mie ni wa hivihivi.....Sina cheo chochote Ila nimebarikiwa kuongea na kilamtu.....penye ubaya napakimbia Kama hivi nitakavyokukimbia.Asantehπ
Hahahhahaha sema bia inaotesha kitambi ndio kitu huwa nazikwepa wa kwetu.Kunywa bia huo meku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bana we angalia mtu anayeshaukwa hovyo utamjua tu.. picha zake ana kitambi cha utapiamlo [emoji23][emoji23][emoji23]
πππ Nkamu nyie huyo best yenuUkisema wote unakosea,simfahamu huyu kiumbe....zaidi ya kutaniana Kama wengine...leteni vya pm tuone hata hi tumewahi peana labda