Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Poleni sana wanaume kama mabinti na sasa naona anamtagg dem fulani hv ipo siku atamuumbua,,
Muomba vocha anawasema wenzie wanamuomba vocha pyumbavu yeye na uk.. wake
Tena ndiyo alikuwa mtoa shukrani muda wote.Sawa,hiyo hatushangai huenda Hana hela ya vocha Kama mie...lakini Nini hii kuumiza watu kimakusudi?
 
Vincenzo Jr Mwenyezi Mungu akubariki Sana.....Ila usipende kuongea uongo ili upewe attention.....mi To yeye wa hivihivi....unichukie Usinichukie...mie ni wa hivihivi.....Sina cheo chochote Ila nimebarikiwa kuongea na kilamtu.....penye ubaya napakimbia Kama hivi nitakavyokukimbia.Asanteh🙏
 
Ukisema wote unakosea,simfahamu huyu kiumbe....zaidi ya kutaniana Kama wengine...leteni vya pm tuone hata hi tumewahi peana labda
😂😂😂 Nkamu nyie huyo best yenu

Remember; “Don’t wrestle with pigs because you’ll get dirty. Besides, the pig will enjoy it”

Acheni kumchekea na kumpa kiki hiki anachowafanyia yy kinampa raha..
 
Back
Top Bottom