Selfika na JF: Snap it. Show it

Odo ake, nimekumiss sana. Bora nimekubamba hapa. Utafanya dada yako nitekwe 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Mich u too oddo 😘😘
Wewe tajiriiiii bana hakuna wa kukuteka πŸ˜‚πŸ˜‚

Oddo nifanyie mpango niongeze mtaji wa vijora na mimi nifoke km wewe 😜
 
Mich u too oddo 😘😘
Wewe tajiriiiii bana hakuna wa kukuteka πŸ˜‚πŸ˜‚

Oddo nifanyie mpango niongeze mtaji wa vijora na mimi nifoke km wewe 😜
Odo ake tajiri wa wapi, niko pangu pakavu tia mchuzi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… utamfanya Mwachi atoke Iringa usiku huu. Anataka kulala Hyatt eti tumchangie 🀣🀣🀣🀣
 
Wakili wangu Fanya maajabu nilipie platinum hiyo 😎😎😎
 
Odo ake tajiri wa wapi, niko pangu pakavu tia mchuzi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… utamfanya Mwachi atoke Iringa usiku huu. Anataka kulala Hyatt eti tumchangie 🀣🀣🀣🀣
πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Hahaha ukichaa flani
Na una chachamaaga unakua kama mbogo flani uliyejeruhiwa;
 
Odo ake tajiri wa wapi, niko pangu pakavu tia mchuzi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… utamfanya Mwachi atoke Iringa usiku huu. Anataka kulala Hyatt eti tumchangie 🀣🀣🀣🀣
Alale Hyatt miguu kasugua magaga?? πŸ˜‚πŸ˜‚
Asije kuchana mashuka tukamchangia tena!!

Wewe tajiriiiiiiiii bana 😍😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…