Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Odo ake, nimekumiss sana. Bora nimekubamba hapa. Utafanya dada yako nitekwe 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Mich u too oddo 😘😘
Wewe tajiriiiii bana hakuna wa kukuteka πŸ˜‚πŸ˜‚

Oddo nifanyie mpango niongeze mtaji wa vijora na mimi nifoke km wewe 😜
 
Mich u too oddo 😘😘
Wewe tajiriiiii bana hakuna wa kukuteka πŸ˜‚πŸ˜‚

Oddo nifanyie mpango niongeze mtaji wa vijora na mimi nifoke km wewe 😜
Odo ake tajiri wa wapi, niko pangu pakavu tia mchuzi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… utamfanya Mwachi atoke Iringa usiku huu. Anataka kulala Hyatt eti tumchangie 🀣🀣🀣🀣
 
Kweli ndugu yangu umenichoka aisee πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo vin mi namchukulia km burudani yangu humu JF, halafu ss hivi kimepoa kinapambania blue tick irudi 🀣🀣

Ile nishamwambia baba Jane bai bai 😹

Yeye kutukata midomo wambea achukue Platinum awe anailipia 🀣🀣
Wakili wangu Fanya maajabu nilipie platinum hiyo 😎😎😎
 
Odo ake tajiri wa wapi, niko pangu pakavu tia mchuzi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… utamfanya Mwachi atoke Iringa usiku huu. Anataka kulala Hyatt eti tumchangie 🀣🀣🀣🀣
πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
🀣🀣🀣🀣 Ila Chinno unazingua!!
Mi sina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, JF kuna drama nyingi sana humu.!
Muhimu kutowatilia maanani, uki log in uwe na ukichaa flan ukiichukulia serious itakutesa..!!
Mi hainiumizi kabisaaa.!!
Hahaha ukichaa flani
Na una chachamaaga unakua kama mbogo flani uliyejeruhiwa;
 
Odo ake tajiri wa wapi, niko pangu pakavu tia mchuzi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… utamfanya Mwachi atoke Iringa usiku huu. Anataka kulala Hyatt eti tumchangie 🀣🀣🀣🀣
Alale Hyatt miguu kasugua magaga?? πŸ˜‚πŸ˜‚
Asije kuchana mashuka tukamchangia tena!!

Wewe tajiriiiiiiiii bana 😍😍
 
Back
Top Bottom