Samantha Lewthwaite
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 298
- 729
Naogea maji ya ndimuSamantha Lewthwaite mgeni wangu umechangamka😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naogea maji ya ndimuSamantha Lewthwaite mgeni wangu umechangamka😊
Sawa😆Naogea maji ya ndimu
Basi sawa 😆😆😆😆Ilikuwa utani tu 😂 😁 😁 huyo wakili wangu
Pale vigogo wawili wanapokutana cc Bantu LadyUnazo oddo wangu tajiriiiiii 😂😂😂
Niambukize utajiri basi oddo na mie niwafokee humu..😹
Oyaa kumbe kagoma kala pesa yetu Yanga SCBasi sawa 😆😆😆😆
Min me selfika hb wetu wa selfika bac 😂😂Lamomy na rafiki yake Vincenzo Jr
Kaone🤣🤣🤣 najua unatania tu😂Min me selfika hb wetu wa selfika bac 😂😂
Taswira ya pic yako bado haijanitoka ujue 😍
Kigogo mmoja tu Bantu Lady 😂😂Pale vigogo wawili wanapokutana cc Bantu Lady
Natania vipi buana niko serious 😍Kaone🤣🤣🤣 najua unatania tu😂
Ww mgeni ushajua mpk chimbo la selfika 🤣🤣🤣Naogea maji ya ndimu
Kwangu andaa ndimu kuzuia kuchefu chefu mana naamka na mood tofauti tofauti… 🤣🤣🤣Unajua nyie wote marafiki zangu wakubwa 😊 napenda msigombene tena ,labda kama ilikua utani , ila kifupi nilikua najisikia vibaya🥲
😆😆 kajomba hakoKwangu andaa ndimu kuzuia kuchefu chefu mana naamka na mood tofauti tofauti… 🤣🤣🤣
Ngoja😅Natania vipi buana niko serious 😍
Tupia basi Mangi
Thubutuuu!! Mayai yangu nishalia chips 🤣🤣😆😆 kajomba hako
Fanya chap bac nataka kufua 😂Ngoja😅
Subiri kidogo nilewe kwanza kafue nitakuita😅😅Fanya chap bac nataka kufua 😂
Anaonekana rika na binti yangu😊
Kumbe mna mabinti na hamsemi 🤣🤣Anaonekana rika na binti yangu😊