cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Blue tick zimekuwa za hovyo sana
Hadi vichaa Wanazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Blue tick zimekuwa za hovyo sana
Hadi vichaa Wanazo
Unayawezaaaa shangaziiiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa natest [emoji1787][emoji1787]
Sabaha anaimba yule mama, ikipigwa Debe tupuu navurugwaa. LolShangazi Kopa anaupiga mwingi kuamsha jukwaa
Ila kwa kuimba
Hakuna mtu anamfikia Sabaha
Sabaha anaimba yule mama, ikipigwa Debe tupuu navurugwaa. Lol
Sabaha ana consistency kwenye sauti yakeSabaha anaimba bhana Yani Hana makeke sauti imetulia anazeeka na sautiyake nzuri
😃😃et kukusanyaa HelaSabaha ana consistency kwenye sauti yake
Yaani mwanzo mwisho haigomi njiani.
Kopa round ya pili tu chalii
Sauti inapotea
Anabaki kuzunguka chini ya jukwaa kukusanya hela.
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah uduguu wee.
Uduguu natafuta mtaji mwenzio 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu em niwacheeee, ntapasua mbavu zangu buree,
Woiiiiiiih
Huyu njaa tupu analilia mpk blue tick 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuweni na imani na Wazee Mjukuu 🤗Mvuvii haramuuu!!
Gran Paah, una balaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakala ikufikie tajiri Bantu Lady nifanyie mpango nifunge kontena la vijora 😂😂😂Ongea nae vizuri/ huyo kukufacilitate uimport kontena nzima la vijora ni dakika sifuri.
🤣🤣🤣 Nkamu umechafukwaBlue tick zimekuwa za hovyo sana
Hadi vichaa Wanazo
Angalia usiniue kwa mshtuko Odo ake. Kontena tena, si nitauza hadi figo 😝😝😝Nakala ikufikie tajiri Bantu Lady nifanyie mpango nifunge kontena la vijora 😂😂😂
Selfika kwanza acha ugai gai 😂Sasa huu mwaka tunaumalizaje kizembe ivo
Oddo pesa ipo hapo imelala, wewe nifanyie mpango niwafokee JF 🤣🤣🤣Angalia usiniue kwa mshtuko Odo ake. Kontena tena, si nitauza hadi figo 😝😝😝
Si nimekukataza kuwafokea watu wa JF. Pesa unayo wee unafikiri nimesahau shem alisemaje? Safari hii twende wote China Odo ake. Sikuachii nafasiOddo pesa ipo hapo imelala, wewe nifanyie mpango niwafokee JF 🤣🤣🤣
Ulipotelea wapiii wee mzee wa Range??
Nilikua kufungua kanisa kwa akina st anne busokelo ndani hukoUlipotelea wapiii wee mzee wa Range?? Woiiiiih.
Mkulima hutaki apendeze na ang'ae kama wewe, hahaha si umruhusu aje dukani.Selfika kwanza acha ugai gai 😂
hivi eh? Nipigie pande la uwinga.Chino wee msikilize tu Lamomy, huyo tajiri wa Kikinga. Kariakoo iko mkononi kwake. Sasa mimi hata duka moja sina hapo Kariakoo. Yeye ndiyo atupe sisi mitaji.