Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
ππ€£π€£π€£πππππ DahHuwa nikiiangalia hii mada nacheka sana maana sidhani kama kuna mada imepita misukosuko na vifungo vifupi na virefu kama hiiπView attachment 3094544
Jf forum wanagawa bluetick kama maandaziπ€£π€£π€£ Nkamu umechafukwa
Aisee.!! Niliona kuna uzi anajiliza kwa kuki amsikilize.. hizi blue tick walipie kwa mwezi laki 2 tupunguze wajinga
Mjanja sana yule Mama πππet kukusanyaa Hela
Yaani imagine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Selfika basiYaani imagine
Matahira wanawekwa kundi moja na akina mshana wenye heshima zao
Wote Wana bluetick.
Nauza keki ndugu mjumbeπSelfika basi
Photo nyingiiii maneno kidogo
Nb zisiwe kekiπ
Leo mpost mpika kekiNauza keki ndugu mjumbeπ
Kwanini zisiwe keki wakati ndizo zinazonipa ulaji?
Nikimpost utaniungisha keki?Leo mpost mpika keki
Mimi sio mgeni kivile lamomy nilikuwa naishia nje tu almost 6 years back ila Kila Chocho ya jf naijua baada ya kulimitiwa ku-view thread ikabidi nijiunge rasmiWw mgeni ushajua mpk chimbo la selfika π€£π€£π€£
Wewe mwenyeji bana, ngoja niangalie kwenye VAR
Kioo changu kimevujia hata ukimpost stamuonaNikimpost utaniungisha keki?
Jaman mama zuchuu simpendiii, na ile misifaaa yakee, aaaah wee.Sabaha ana consistency kwenye sauti yake
Yaani mwanzo mwisho haigomi njiani.
Kopa round ya pili tu chalii
Sauti inapotea
Anabaki kuzunguka chini ya jukwaa kukusanya hela.
Njoo nikuinuee, nakopeshaaaa mie bila Ribaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uduguu natafuta mtaji mwenzio [emoji23][emoji23]
Aaah jamaniiii uduguuu, wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu njaa tupu analilia mpk blue tick [emoji1787][emoji1787]
Thubutuuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuweni na imani na Wazee Mjukuu [emoji847]
Naombaa niwe Muhasibu wa kanisaa, [emoji120][emoji120][emoji120]Nilikua kufungua kanisa kwa akina st anne busokelo ndani huko
Dada Anne umechachukaa vibayaa siku hiziii, wallahYaani imagine
Matahira wanawekwa kundi moja na akina mshana wenye heshima zao
Wote Wana bluetick.
Hizi bluetick kuna namna za hawa matahira wa sasa zitofautishwe kidogo na wenye utimamu.
Hiki kikombe nimekumbukaa mbaliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nauza keki ndugu mjumbe[emoji23]
Kwanini zisiwe keki wakati ndizo zinazonipa ulaji?
DuhHuwa nikiiangalia hii mada nacheka sana maana sidhani kama kuna mada imepita misukosuko na vifungo vifupi na virefu kama hiiπView attachment 3094544
Safiiiii sanaNauza keki ndugu mjumbeπ
Kwanini zisiwe keki wakati ndizo zinazonipa ulaji?