myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
🤣🤣Si nimekukataza kuwafokea watu wa JF. Pesa unayo wee unafikiri nimesahau shem alisemaje? Safari hii twende wote China Odo ake. Sikuachii nafasi
Umekumbuka Songea?Au jeshini?Hiki kikombe nimekumbukaa mbaliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi bluetick za safari hii zinaverify wagonjwa wa akiliDada Anne umechachukaa vibayaa siku hiziii, wallah
Sijakuzoea hivi ujue, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂mama junia nimechekaWajinga wajinga nawapotezea
Katu hawanipigishi kelele🔥🔥🔥
Binadamu ndio wamezoea
....
Wale mnatafuta kiki pm kwangu
Huwa sijibu matahira
Kuwa na imani na Babu yako Mjukuu 🤗Thubutuuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan Leo Raha tu 😍Mzee baba kinandani🔥🔥🔥🔥
Kuna wapiga kinandaYaan Leo Raha tu 😍
Anakishenyenta balaa😂😂Kuna wapiga kinanda
Afu yupo wangu mieee😂🔥🔥🔥🔥
Pameshachangamka🔥🔥🔥🔥🔥Yaan Leo Raha tu 😍
Leo hajacheza sana😂😂😂😂Anakishenyenta balaa😂😂
Yani acha tu Hana nyimbo mbaya yule dada 😍Leo hajacheza sana😂😂😂😂
Anachezaga hatari🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nasubiri round ingine
Apige ile sina muda huo siiinaaa
Na maneno ya mkosaji🔥🔥🔥
Oooh ulisema wa niniYani acha tu Hana nyimbo mbaya yule dada 😍
Usisikite ameniwezeshaOooh ulisema wa nini
Mwenzio kaniweka ndani ninamliwaza
Ooh wangu mwandani
Ye anajua penzi nini ananiliwaza🔥🔥🔥🔥🔥
Nimempata muungwana anayenijali miee
Mapenzi yake motomoto twaheshimiana siyee
Kwahuyu nathaminika🥰👌🏿...
Huyu mama ni hatari sana🔥🔥
Leo naangalia kwa sababu ya Leyla tuUsisikite ameniwezesha
yeye niwe namvuto
Usibabaike ukiniona
Nipo nae hatutaki joto😍
Mimi Ile fanya Yako na sitaki shari ni babalao