myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
🤣🤣Si nimekukataza kuwafokea watu wa JF. Pesa unayo wee unafikiri nimesahau shem alisemaje? Safari hii twende wote China Odo ake. Sikuachii nafasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Si nimekukataza kuwafokea watu wa JF. Pesa unayo wee unafikiri nimesahau shem alisemaje? Safari hii twende wote China Odo ake. Sikuachii nafasi
Umekumbuka Songea?Au jeshini?Hiki kikombe nimekumbukaa mbaliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi bluetick za safari hii zinaverify wagonjwa wa akiliDada Anne umechachukaa vibayaa siku hiziii, wallah
Sijakuzoea hivi ujue, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂mama junia nimechekaWajinga wajinga nawapotezea
Katu hawanipigishi kelele🔥🔥🔥
Binadamu ndio wamezoea
....
Wale mnatafuta kiki pm kwangu
Huwa sijibu matahira
Kuwa na imani na Babu yako Mjukuu 🤗Thubutuuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan Leo Raha tu 😍Mzee baba kinandani🔥🔥🔥🔥
Kuna wapiga kinandaYaan Leo Raha tu 😍
Anakishenyenta balaa😂😂Kuna wapiga kinanda
Afu yupo wangu mieee😂🔥🔥🔥🔥
Pameshachangamka🔥🔥🔥🔥🔥Yaan Leo Raha tu 😍
Leo hajacheza sana😂😂😂😂Anakishenyenta balaa😂😂
Yani acha tu Hana nyimbo mbaya yule dada 😍Leo hajacheza sana😂😂😂😂
Anachezaga hatari🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nasubiri round ingine
Apige ile sina muda huo siiinaaa
Na maneno ya mkosaji🔥🔥🔥
Oooh ulisema wa niniYani acha tu Hana nyimbo mbaya yule dada 😍
Usisikite ameniwezeshaOooh ulisema wa nini
Mwenzio kaniweka ndani ninamliwaza
Ooh wangu mwandani
Ye anajua penzi nini ananiliwaza🔥🔥🔥🔥🔥
Nimempata muungwana anayenijali miee
Mapenzi yake motomoto twaheshimiana siyee
Kwahuyu nathaminika🥰👌🏿...
Huyu mama ni hatari sana🔥🔥
Leo naangalia kwa sababu ya Leyla tuUsisikite ameniwezesha
yeye niwe namvuto
Usibabaike ukiniona
Nipo nae hatutaki joto😍
Mimi Ile fanya Yako na sitaki shari ni babalao