Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
πππHatariWako nishamchukua
Kwako harudi tena
Katamka wasiwasi
Nampikia maandazi na Chai ya tangawizi
Kisa nnatoa doziπ₯π₯π₯π₯
Jibebe na jeuri zako
Ooh utalia
Jiji utalijua
Wimbo wa michepukoπππ
Haforce sautiLongolongo za waswazi
Hazinipi mtihani
Hazininyimi usingizi
Wa kulala na mwandani
Nimerudi Kwa mpenz
Sasa maneno ya nini
Saint Anne ameingia kiboko yangu
Yaani noma sana πHaforce sauti
Sauti ipo imenyooka
Katibu napoteza muda wa kuwapa mbu chakulaMhh mbona naona makombora tu, Kuna Nini muhasibu ?
Azam ni wapuuziKoma kunifatilia
Nina bwana wangu ndani
Nadhani unamjua
Handsome boy mjini
Wengi wamgombania
Amewapiga na chini πππ
Saint Anne
HatariππππππKoma kunifatilia
Nina bwana wangu ndani
Nadhani unamjua
Handsome boy mjini
Wengi wamgombania
Amewapiga na chini πππ
Saint Anne
Sana kiukweli wanajua kuimba sana na maneno yamepangika haswaHatariππππππ
Dada amepanga maneno yakapangikaππππ