Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila mishangazi ya Dodoma mibahili
Sijui ndio haina hela

Dah
Wanatoa bukubuku,nazo Kwa mbinde[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii raha za pwani ipelekwe Tanga..
Kopa leo kukusanya hela chache ukilonganisha na raha za pwani ya Dar.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…