Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Wamama wanachamba hawa๐๐๐๐๐๐๐ฟSana kiukweli wanajua kuimba sana na maneno yamepangika haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamama wanachamba hawa๐๐๐๐๐๐๐ฟSana kiukweli wanajua kuimba sana na maneno yamepangika haswa
Nimekumbuka Songea, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umekumbuka Songea?Au jeshini?
Naona ITV hapa 823 KJ kikosi chetu kimeibuka kidedea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiHizi bluetick za safari hii zinaverify wagonjwa wa akili
Niko Town kitambooo, em tag Loc nikupitie babuu,Kuwa na imani na Babu yako Mjukuu [emoji847]
Hivi umesharudi town? Pitia unisalimie ukiweza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si kama siwezi kusema
Naweza mpaka kukesha
Ila naogopa lawama[emoji1533]
Naogopa mashoga lialia[emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee wa Range, naombaa ninunulie Jack Daniels. Huhuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiiIla mishangazi ya Dodoma mibahili
Sijui ndio haina hela
Dah
Wanatoa bukubuku,nazo Kwa mbinde[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii raha za pwani ipelekwe Tanga..
Kopa leo kukusanya hela chache ukilonganisha na raha za pwani ya Dar.
Njoo Kigamboni tukapunge upepo beach ๐คNiko Town kitambooo, em tag Loc nikupitie babuu,
Najua sikosi zawadiii. [emoji108][emoji108]
na wew unatumia mikojo ya shetani ?Mzee wa Range, naombaa ninunulie Jack Daniels. Huhuh
Kwa maisha hayaa, imenibidii tyuuh, maana bila hivyo naweza okota makopo mtaani, na nisijue Pa kupelekaa.na wew unatumia mikojo ya shetani ?
Kesho bas, after Ibada. [emoji108][emoji108]Njoo Kigamboni tukapunge upepo beach [emoji847]
Utanikuta nakusubiri Ferry ๐คKesho bas, after Ibada. [emoji108][emoji108]
Oyoooooo.!!Njoo nikuinuee, nakopeshaaaa mie bila Ribaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
๐๐๐๐ bluetick inafanya kijana alieAaah jamaniiii uduguuu, wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha tuone ila VAR inagoma huku ๐คฃ๐คฃ๐คฃMimi sio mgeni kivile lamomy nilikuwa naishia nje tu almost 6 years back ila Kila Chocho ya jf naijua baada ya kulimitiwa ku-view thread ikabidi nijiunge rasmi
Nina binti wa miaka 7 na kijana wa miaka 17Kumbe mna mabinti na hamsemi ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐ hazina thamani kabisaaJf forum wanagawa bluetick kama maandazi
Dukani njoo uniungishe vijora vya mama basi ๐Mkulima hutaki apendeze na ang'ae kama wewe, hahaha si umruhusu aje dukani.
Weeeh!! Mbona kwenye pic unaonekana bado mali safi mkuu ๐Nina binti wa miaka 7 na kijana wa miaka 17