Njoo uone huku kijijini kwetuπππHebu tuone km kweli π
Njoo uone huku kijijini kwetuπππHebu tuone km kweli π
Mi niko town kwenye maandamano bana, tupia pic nikazie maandamano πΉNjoo uone huku kijijini kwetuπππ
Igweeeeeeee Madame πΉπΉπΉDah!!
Ile kitu hatari sana, sahv imekuna original yake....π π π
Yaani huulizi...ni copy & pasteπ₯±π₯±π₯±
Nimeona aiseee!! πΉπΉZina bajeti ya matunzo matata sana
Unaandamana wapi wewe πMi niko town kwenye maandamano bana, tupia pic nikazie maandamano πΉ
Mnazi mmoja nishafika πΉπΉUnaandamana wapi wewe π
Ngoja wakunyakue kama kifaranga cha kukuπMnazi mmoja nishafika πΉπΉ
Yani wewe kwa kunitafutia wastaafu uko vizuri! Wastaafu wote waje kwangu ufalme wa kapisi ni wao
Hawana jeuri hiyo πΉπΉNgoja wakunyakue kama kifaranga cha kukuπ
π€£π€£π€£ Ndio vizuri tule mafao na viinua mgongo shosti..!Yani wewe kwa kunitafutia wastaafu uko vizuri! Wastaafu wote waje kwangu ufalme wa kapisi ni wao
Ulifichwa wapi weekend?
Au wewe ni yule uliekua unapiga maombi kwenye maandamano πHawana jeuri hiyo πΉπΉ
Babe ndio nini michezo ya kuvizia hatupo online πNiliweka ukawa umesinzia, Saint Anne akatoka kidogo, huwezi amini nimeweka two times. Utaniambia muda utakaokuwa free nitaweka tena ila mida ya wanga π π π π
πΉπΉπΉ Sura ngumu bangi nyingi..!Tatizo uhb mi napenda sura ng'ong'oπ
Niko poa sana msweet wake shem,π€£π€£π€£ Ndio vizuri tule mafao na viinua mgongo shosti..!
Kuna sehemu nilikuwa nashangaa mataa bana, leo nikasema wacha nikucheki shosti yangu.. uko pouwa?!
Sitaki kuwa murderer πππΉπΉπΉ Sura ngumu bangi nyingi..!
Wewe ushazoea vita nakujua huyo mzee utampandisha sugar
Mi mamah wa ambushi na maombi wapi na wapi?? πππAu wewe ni yule uliekua unapiga maombi kwenye maandamano π
Nilikumiso πNiko poa sana msweet wake shem,
wastaafu siwataki wanafanya na mie nakuwa mzee