Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yani wewe kwa kunitafutia wastaafu uko vizuri! Wastaafu wote waje kwangu ufalme wa kapisi ni wao

Ulifichwa wapi weekend?
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Ndio vizuri tule mafao na viinua mgongo shosti..!

Kuna sehemu nilikuwa nashangaa mataa bana, leo nikasema wacha nikucheki shosti yangu.. uko pouwa?!
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Ndio vizuri tule mafao na viinua mgongo shosti..!

Kuna sehemu nilikuwa nashangaa mataa bana, leo nikasema wacha nikucheki shosti yangu.. uko pouwa?!
Niko poa sana msweet wake shem,

wastaafu siwataki wanafanya na mie nakuwa mzee
 
Au wewe ni yule uliekua unapiga maombi kwenye maandamano ๐Ÿ˜
Mi mamah wa ambushi na maombi wapi na wapi?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nilitaka watupe bomu la machozi niwarudishie kwenye defender laoโ€ฆ

Sema wabongo sisi wanafiki sana, yani watu tuko road wengine leo wamejifungia wanapeana yutiayi ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Back
Top Bottom