π€£π€£π€£ Shosti mgao utatoa mkinga na maokoto huwezi kututenganisha hata kwa fimboβ¦ πΉShuntama hilo nalijua hafurukuti, ila hapo kwenye laki ndo kuna kipengele tena kizito
Na mlivyo wachawi kuzidi watani zangu waha arooo nitatoa tuπ€£π€£π€£ Shosti mgao utatoa mkinga na maokoto huwezi kututenganisha hata kwa fimboβ¦ πΉ
Ntakupa dhambi za bure ukajichukulia sheria mkononi dogo π€£π€£π€£wekeni hapa tuone mshangazi wa njombe vs wa bukoba
π€£π€£π€£ Ningeshangaa hizo suti anazopigilia anakosaje ndinga??π π π hawezi kukosa wanaume jf wote wana ndinga, ni mafaza house wanaopeleka moto vibaya
hilo hilo liweke hapa tulipe marksNtakupa dhambi za bure ukajichukulia sheria mkononi dogo π€£π€£π€£
Nna zigo sanchi anasubiri ohhhh!! Huoni Kaka yako anavyokonda zigo limemzidi pumzi πΉπΉ
Hebu niachie my wanguπ€£π€£π€£ Ningeshangaa hizo suti anazopigilia anakosaje ndinga??
π€£π€£π€£π€£ Ila wakinga mnatuonea jamani!!Na mlivyo wachawi kuzidi watani zangu waha arooo nitatoa tu
Najua wewe ni mjomba mbona umejiwahi hivyo,mimi sio mshangazi
Mna namna 'yenu' ya kuchapakaziπ€£π€£π€£π€£ Ila wakinga mnatuonea jamani!!
Uchawi sisi tuotoe wapi? Sisi wachapakazi bana.!! πΉ
Kubwaaaa πππhilo hilo liweke hapa tulipe marks
Shem km shem huna baya, π€£π€£π€£
Chukua kapeace awe anakufanyia massage huku anakusaidia kutafuna kiinua mgongo..!!
Mi mpambe wenu niko pembeni nawamininia mvinyo huku nawachekesha.. π
Mahi unaye umejipata mwenyewe ππHebu niachie my wangu
Mfyuuuu π€£π€£π€£π€£Mna namna 'yenu' ya kuchapakazi
Woow my babe anaonyesha ni mpole sana, nimefurahi kukuona π₯°π₯°π₯° kikiboxer Ahsante, usiku umeshaingia tayari hapa.Mimi zaidi babe, unakuwa adimu sana humu.
Uwe na jioni njema Babe.
π π π katika vitu havinipagi stress ni nyakunyaku sijui najiamini au nina dharau zilizozidiMahi unaye umejipata mwenyewe ππ
Sema uwe makini kuna nyakunyaku, hawachelewi kumbeba.!! Ukabe had penalty πΉ
Kapeace shem anatuonaje huyu??Sasa, kama unajua kuitengeneza hivi vitu, tuyajenge maanake ukianza kuzeeka vyakula vinakupa vya kudonoa donoa.
View attachment 3104675
Sharubati
View attachment 3104677
Mr A tenaah.!! π€£π€£Safi kabisa,selfika kidogo nikupatie ujumbe toka kwa Mr A