Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣 Shosti mgao utatoa mkinga na maokoto huwezi kututenganisha hata kwa fimbo… 😹Shuntama hilo nalijua hafurukuti, ila hapo kwenye laki ndo kuna kipengele tena kizito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Shosti mgao utatoa mkinga na maokoto huwezi kututenganisha hata kwa fimbo… 😹Shuntama hilo nalijua hafurukuti, ila hapo kwenye laki ndo kuna kipengele tena kizito
Na mlivyo wachawi kuzidi watani zangu waha arooo nitatoa tu🤣🤣🤣 Shosti mgao utatoa mkinga na maokoto huwezi kututenganisha hata kwa fimbo… 😹
Ntakupa dhambi za bure ukajichukulia sheria mkononi dogo 🤣🤣🤣wekeni hapa tuone mshangazi wa njombe vs wa bukoba
🤣🤣🤣 Ningeshangaa hizo suti anazopigilia anakosaje ndinga??😅😅😅hawezi kukosa wanaume jf wote wana ndinga, ni mafaza house wanaopeleka moto vibaya
hilo hilo liweke hapa tulipe marksNtakupa dhambi za bure ukajichukulia sheria mkononi dogo 🤣🤣🤣
Nna zigo sanchi anasubiri ohhhh!! Huoni Kaka yako anavyokonda zigo limemzidi pumzi 😹😹
Hebu niachie my wangu🤣🤣🤣 Ningeshangaa hizo suti anazopigilia anakosaje ndinga??
🤣🤣🤣🤣 Ila wakinga mnatuonea jamani!!Na mlivyo wachawi kuzidi watani zangu waha arooo nitatoa tu
Najua wewe ni mjomba mbona umejiwahi hivyo,mimi sio mshangazi
Mna namna 'yenu' ya kuchapakazi🤣🤣🤣🤣 Ila wakinga mnatuonea jamani!!
Uchawi sisi tuotoe wapi? Sisi wachapakazi bana.!! 😹
Kubwaaaa 😂😂😂hilo hilo liweke hapa tulipe marks
Shem km shem huna baya, 🤣🤣🤣
Chukua kapeace awe anakufanyia massage huku anakusaidia kutafuna kiinua mgongo..!!
Mi mpambe wenu niko pembeni nawamininia mvinyo huku nawachekesha.. 😜
Mahi unaye umejipata mwenyewe 😂😂Hebu niachie my wangu
Mfyuuuu 🤣🤣🤣🤣Mna namna 'yenu' ya kuchapakazi
Woow my babe anaonyesha ni mpole sana, nimefurahi kukuona 🥰🥰🥰 kikiboxer Ahsante, usiku umeshaingia tayari hapa.Mimi zaidi babe, unakuwa adimu sana humu.
Uwe na jioni njema Babe.
😅😅😅katika vitu havinipagi stress ni nyakunyaku sijui najiamini au nina dharau zilizozidiMahi unaye umejipata mwenyewe 😂😂
Sema uwe makini kuna nyakunyaku, hawachelewi kumbeba.!! Ukabe had penalty 😹
Kapeace shem anatuonaje huyu??Sasa, kama unajua kuitengeneza hivi vitu, tuyajenge maanake ukianza kuzeeka vyakula vinakupa vya kudonoa donoa.
View attachment 3104675
Sharubati
View attachment 3104677
Mr A tenaah.!! 🤣🤣Safi kabisa,selfika kidogo nikupatie ujumbe toka kwa Mr A