Unakuwa km unazomea watu km unataka kulia km unakata gogo gumu liligoma kuuacha mwili,,,, aaaaahh ππMake up wengi hawajui , make up kidogo tu, sio unapakwa make up matokeo yake unakuwa kama wale bibi harusi wa uswahilini..
Hebu niache we mtotoMake up ukimkuta mpakaji kavurugwa, unatoka km tumbili mjane ππ
Dada rudia hata kisigino nilale mdogowakoHebu niache we mtoto
Kuna siku nililazimishwa kupaka ilikuwa naenda shughuli flaniMake up ukimkuta mpakaji kavurugwa, unatoka km tumbili mjane ππ
MashAlllah...π€£π€£π€£Mm pia za rangi nilikuwa siwez kabisa
Huwa napenda sana kucheka ila muda wa picha mnuno π€£π€£
Kuna mdogowangu akanambia ukitabasamu unapendeza sana nakumbuka alikuwa ananipigia picha aiseeππ
Ilikuwa picha hii naitunzaga sana
Nikajiongeza na lipstick nyekundu sikunyingine ikawa ndio fav π
Ngoja aje atubless tenaNina kapicha kake aisee siifutag Ile kumbukumbu π
Ni mzuri Sana Kuna dadazetu hapa ni noma na nusu alaf hawaring Akina sie twajibii Sasa πππ
Hiyo siku ilikuwa wanamwaga ubuyu kuna uzi mmoja hivi, coca akatumiwa risiti akapost na mie tena nikadandia treni kwa mbele acha nichambe nikala ban coca anakuja kunipa pole pm naye akala ban tukabaki tunachekaπππTatizo stori za Coca zinahitaji kiwango cha juu sana Cha umbea na kuelewa
Mi natokaga holaa
Kakoka bhana kambea ka kimataifa
Kweli umbra kipaji
Sijaziona ila nipo hapa weka nitaona usiniqoute isije kubaliHivi Aaliyyah hupati tags? Maana nimekutag leo na hauzijibu sasa hapo kwenye picha sitaki kuquote ili picha isije kubaki humu,
Tabasamu kwenye picha ni muhimu linaongeza urembo, na kuficha utu uzima inafanya sura iwe ya kitoto sana, ni mwendo wa kusmile tu
Quote tu halafu kwenye editor unafuta attachment ...Hivi Aaliyyah hupati tags? Maana nimekutag leo na hauzijibu sasa hapo kwenye picha sitaki kuquote ili picha isije kubaki humu,
Tabasamu kwenye picha ni muhimu linaongeza urembo, na kuficha utu uzima inafanya sura iwe ya kitoto sana, ni mwendo wa kusmile tu
Imenikuta last week nilikuwa km kizuka awee sitaki Tenaπ€£π€£π€£Kuna siku nililazimishwa kupaka ilikuwa naenda shughuli flani
Wakasema huchelewi bna fasta
Mungu wangu kuangalia kwenye kioo
Naona picha kama la nsyuka part 3
Wamepaka makeup za watu weupe grade 1
Wakati mi mweusi grade1
Kama naenda cheza nsyuka part4 hiviπ
Kataka nijikimbie
Nenda kwa sumbai page no 19657Dada rudia hata kisigino nilale mdogowako
Kikubwa nimewapitia wote πππTungekupa gono uti na yule kubwa lao
Hapo zamani sahiz nipo km kizuka yaani madela ndo yanafit Nilicheka km nazomea ila maisha haya π€£π€£π€£MashAlllah...
Skin tone, smile, lips π₯π₯
Ngoja tubaki kusifu na kula kwa macho...
SawaNenda kwa sumbai page no 19657
Malaya mumoja, bladifakeniKikubwa nimewapitia wote πππ
Yaani huko usoni vumbi siyo vumbiImenikuta last week nilikuwa km kizuka awee sitaki Tenaπ€£π€£π€£