Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna siku nililazimishwa kupaka ilikuwa naenda shughuli flani
Wakasema huchelewi bna fasta

Mungu wangu kuangalia kwenye kioo
Naona picha kama la nsyuka part 3
Wamepaka makeup za watu weupe grade 1
Wakati mi mweusi grade1

Kama naenda cheza nsyuka part4 hivi😂
Kataka nijikimbie
Mi nilijikataa ni unakuwa zombi zombi ila wengine mbona wanapendeza hebu mama ushungi aaliyah atoe darasa jamani
 
Yaani huko usoni vumbi siyo vumbi
Nikijiangalia shingo sasa na uso
Wapuuzi wale waliniambia nisinzie ili wanitishe na kinyago changu mwenyewe
Msikutaka mjadala nikaenda kunawa

Oh subiri tumalizie utaona
We hujui tu
Nikawaambia acheni ujinga
Ni kweli sijui mambo ya urembo ila hamuwez nigeuza msukule nawaona
Mimi nilipakwa wanja km naenda kusasambua 🤣🤣🤣
 
Hiyo siku ilikuwa wanamwaga ubuyu kuna uzi mmoja hivi, coca akatumiwa risiti akapost na mie tena nikadandia treni kwa mbele acha nichambe nikala ban coca anakuja kunipa pole pm naye akala ban tukabaki tunacheka😂😂😂

Tukarudi tena kivingine tukapeana signal ndio nikaanza kumuuliza kwani ini ni nani?? Naye anaongea kwa uoga, nikazama chimbo nikaishtukia id moja hivi nikaifatilia ikanipa full story yy ndiye ini og dah.!! Nilichoka 😹😹😹

Ila story yake inachekesha sana.. JF kuna viumbe wa hatari sana humu.!!
Itoshe kusema JF ni kichaka chenye wanyama wakali nkamu 🙌🙌😂😂
Chaa
Nkamu unaniachaje kwenye mataa stori inanipita
Wee utanihadithia
 
Kuna siku nililazimishwa kupaka ilikuwa naenda shughuli flani
Wakasema huchelewi bna fasta

Mungu wangu kuangalia kwenye kioo
Naona picha kama la nsyuka part 3
Wamepaka makeup za watu weupe grade 1
Wakati mi mweusi grade1

Kama naenda cheza nsyuka part4 hivi😂
Kataka nijikimbie
😂😂😂😂 nouma sana.!!
Mi makeup naiogopa nimenunua ila naishia kuitazama, kope nilikuwa mpenzi ila ss hivi sitaki hata kuziona… sijui nimeanza kukua?!!

Siku hizi had vitenge najifunga eti km mama kitulano 😹😹😹
 
Mi nilijikataa ni unakuwa zombi zombi ila wengine mbona wanapendeza hebu mama ushungi aaliyah atoe darasa jamani
Mm makeup naweza ila Kwa usowangu sio mpakaji labda simple wanja ndo siwez kabisa lipstick ndo mambo yangu Yani hata lipgloss naweza zichanganya na wanja zikatulia
 
Imenikuta last week nilikuwa km kizuka awee sitaki Tena🤣🤣🤣
Kuna birthday moja nilialikwa, birthday girl aliposimama, rafiki yangu akanambia mbona birthday girl kafanana na Michael Jackson?😂

Aisee kumtizama kwa makini nilicheka sana, amefanana na yule MJ kwenye Thriller...

Make up hizo, ukiwa mzuri mbona huwa sioni haja ya make up?
Au ni kukariri?

Huwa naona kazi ya make up ni kutoa tu zile black dots, makovu au chunusi sehemu baadhi ya uso kwa ajili ya photoshoot...

Na hapo mpakaji make up awe hodari kuchanganya hizo make up ziendane na skin tone yako... Mtu mweusi unapakwa make up ya brown😂
 
Kuna birthday moja nilialikwa, birthday girl aliposimama, rafiki yangu akanambia mbona birthday girl kafanana na Michael Jackson?😂

Aisee kumtizama kwa makini nilicheka sana, amefanana na yule MJ kwenye Thriller...

Make up hizo, ukiwa mzuri mbona huwa sioni haja ya make up?
Au ni kukariri?

Huwa naona kazi ya make up ni kutoa tu zile black dots, makovu au chunusi sehemu baadhi ya uso kwa ajili ya photoshoot...

Na hapo mpaka make up awe hodari kuchanganya hizo make up ziendane na skin tone yako... Mtu mweusi unapakwa make up ya brown😂
😁🤣😁Alikuwa kafanana na mkali wa pop
 
Kuna birthday moja nilialikwa, birthday girl aliposimama, rafiki yangu akanambia mbona birthday girl kafanana na Michael Jackson?😂

Aisee kumtizama kwa makini nilicheka sana, amefanana na yule MJ kwenye Thriller...

Make up hizo, ukiwa mzuri mbona huwa sioni haja ya make up?
Au ni kukariri?

Huwa naona kazi ya make up ni kutoa tu zile black dots, makovu au chunusi sehemu baadhi ya uso kwa ajili ya photoshoot...

Na hapo mpaka make up awe hodari kuchanganya hizo make up ziendane na skin tone yako... Mtu mweusi unapakwa make up ya brown😂
Mimi nilivo na aibu kilamtu naemjua namwambia niangalie usoni naonekanage bas hawana mbavu sherehe had inaishia nimejinamia tu
 
Chaa
Nkamu unaniachaje kwenye mataa stori inanipita
Wee utanihadithia
Hilo dude la moto sana nilipewa na ini mwenyewe 😂😂😂

Ila mie isingekuwa kuuza vijora ningefungua app yangu ya umbea mana nikikamia jambo mpk nilijue 🤣🤣🤣

JF wangekuwa wanaruhusu kuleta umbea wa members ningewapa burudani humu kuna burudani nyingi sanah.!!
 
Back
Top Bottom