Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilijikataa ni unakuwa zombi zombi ila wengine mbona wanapendeza hebu mama ushungi aaliyah atoe darasa jamaniKuna siku nililazimishwa kupaka ilikuwa naenda shughuli flani
Wakasema huchelewi bna fasta
Mungu wangu kuangalia kwenye kioo
Naona picha kama la nsyuka part 3
Wamepaka makeup za watu weupe grade 1
Wakati mi mweusi grade1
Kama naenda cheza nsyuka part4 hivi😂
Kataka nijikimbie
Mimi nilipakwa wanja km naenda kusasambua 🤣🤣🤣Yaani huko usoni vumbi siyo vumbi
Nikijiangalia shingo sasa na uso
Wapuuzi wale waliniambia nisinzie ili wanitishe na kinyago changu mwenyewe
Msikutaka mjadala nikaenda kunawa
Oh subiri tumalizie utaona
We hujui tu
Nikawaambia acheni ujinga
Ni kweli sijui mambo ya urembo ila hamuwez nigeuza msukule nawaona
ChaaHiyo siku ilikuwa wanamwaga ubuyu kuna uzi mmoja hivi, coca akatumiwa risiti akapost na mie tena nikadandia treni kwa mbele acha nichambe nikala ban coca anakuja kunipa pole pm naye akala ban tukabaki tunacheka😂😂😂
Tukarudi tena kivingine tukapeana signal ndio nikaanza kumuuliza kwani ini ni nani?? Naye anaongea kwa uoga, nikazama chimbo nikaishtukia id moja hivi nikaifatilia ikanipa full story yy ndiye ini og dah.!! Nilichoka 😹😹😹
Ila story yake inachekesha sana.. JF kuna viumbe wa hatari sana humu.!!
Itoshe kusema JF ni kichaka chenye wanyama wakali nkamu 🙌🙌😂😂
😂😂😂😂 nouma sana.!!Kuna siku nililazimishwa kupaka ilikuwa naenda shughuli flani
Wakasema huchelewi bna fasta
Mungu wangu kuangalia kwenye kioo
Naona picha kama la nsyuka part 3
Wamepaka makeup za watu weupe grade 1
Wakati mi mweusi grade1
Kama naenda cheza nsyuka part4 hivi😂
Kataka nijikimbie
Kuna wachache wanaojua kupakaMi nilijikataa ni unakuwa zombi zombi ila wengine mbona wanapendeza hebu mama ushungi aaliyah atoe darasa jamani
Mm makeup naweza ila Kwa usowangu sio mpakaji labda simple wanja ndo siwez kabisa lipstick ndo mambo yangu Yani hata lipgloss naweza zichanganya na wanja zikatuliaMi nilijikataa ni unakuwa zombi zombi ila wengine mbona wanapendeza hebu mama ushungi aaliyah atoe darasa jamani
😹😹😹 tukiumbwa tena wanipe mkia nikushughulikie jeuri ikuisheMalaya mumoja, bladifakeni
Walau tupe hiyo ya lipgloss mwenzio napakaga baby care mdomoni ujue hapa na hapo nishayakula hayaonekani🤣🤣Mm makeup naweza ila Kwa usowangu sio mpakaji labda simple wanja ndo siwez kabisa lipstick ndo mambo yangu Yani hata lipgloss naweza zichanganya na wanja zikatulia
Mungu na iyo midude myekundu mdomoniMimi nilipakwa wanja km naenda kusasambua 🤣🤣🤣
Kuna birthday moja nilialikwa, birthday girl aliposimama, rafiki yangu akanambia mbona birthday girl kafanana na Michael Jackson?😂Imenikuta last week nilikuwa km kizuka awee sitaki Tena🤣🤣🤣
Hata sio mkorofi wanakuchokozaga wapige spana tumekupa baraka 😍Wengi mmeponea kwa sumbai, lips denda km za mtoto kumbe mbibi flani hivii mkorofiii
Auntie Junia akikupaka lipstickWalau tupe hiyo ya lipgloss mwenzio napakaga baby care mdomoni ujue hapa na hapo nishayakula hayaonekani🤣🤣
😁🤣😁Alikuwa kafanana na mkali wa popKuna birthday moja nilialikwa, birthday girl aliposimama, rafiki yangu akanambia mbona birthday girl kafanana na Michael Jackson?😂
Aisee kumtizama kwa makini nilicheka sana, amefanana na yule MJ kwenye Thriller...
Make up hizo, ukiwa mzuri mbona huwa sioni haja ya make up?
Au ni kukariri?
Huwa naona kazi ya make up ni kutoa tu zile black dots, makovu au chunusi sehemu baadhi ya uso kwa ajili ya photoshoot...
Na hapo mpaka make up awe hodari kuchanganya hizo make up ziendane na skin tone yako... Mtu mweusi unapakwa make up ya brown😂
Mimi nilivo na aibu kilamtu naemjua namwambia niangalie usoni naonekanage bas hawana mbavu sherehe had inaishia nimejinamia tuKuna birthday moja nilialikwa, birthday girl aliposimama, rafiki yangu akanambia mbona birthday girl kafanana na Michael Jackson?😂
Aisee kumtizama kwa makini nilicheka sana, amefanana na yule MJ kwenye Thriller...
Make up hizo, ukiwa mzuri mbona huwa sioni haja ya make up?
Au ni kukariri?
Huwa naona kazi ya make up ni kutoa tu zile black dots, makovu au chunusi sehemu baadhi ya uso kwa ajili ya photoshoot...
Na hapo mpaka make up awe hodari kuchanganya hizo make up ziendane na skin tone yako... Mtu mweusi unapakwa make up ya brown😂
Hilo dude la moto sana nilipewa na ini mwenyewe 😂😂😂Chaa
Nkamu unaniachaje kwenye mataa stori inanipita
Wee utanihadithia