Unless uwe umefanya mazoeziSiko tandam hivyo ila sipo kwenye mnyauko vilevile, jamaa ananituliza kanizidi kila kitu lazima heshima iwepo
Usinikumbushe kaka, kjjn wakati natoka waliniambia hao wote wanangoma. Yaan waotot wachuo wote wanangomasumbai anasinzia sana ndio mana vimwana wa hall 3 walikua wakimpita ntamwakilisha
Wakora waitu mnywani
Unazembea sana mkuuUsinikumbushe kaka, kjjn wakati natoka waliniambia hao wote wanangoma. Yaan waotot wachuo wote wanangoma
Yaan, Yule MTU alinikosesha vyombo vya maaana saaana.
Juz Kati nilipita chuo pale nilikuta vitu vya maana nikatamani nirudi kuchomoa sup yangu
Hapana hapana hatujadukuliwa 😅😅😅😅😅 ni picha tukiweka, zikikaa muda mrefu wengine hazifutiki kwenye kuquote kipenzi, mdada mzuri KalpanaKuna nini mrembo? Mbona kama mmedukuliwa...😀😀😀😀
Barikiwa sana wazee si ndo nyinyi sasaUkushakua Mzee ratiba inakua fixed.
Basi tukamilishe Hilo la sharubati ya mgonjwa.
😂😂😂haya bhanaUnless uwe umefanya mazoezi
Kwenye kiti huenei vizuri kama Bantu Lady unasemaje sio tandamu sisi wazee wa kuzoom mizigo tumekupitisha bila kupingwa
Umechaghua kumuheshimu hongera sana.
Thubutuuu!!Sisi wazee bwana, yaan watoto wazuri tunaangalia tuu hatuna chakuwafanya
Hii mchana halafu jumanne, sasa majukumu ya kujenga taifa saa ngapi yanafanyika...😂Nimelewa mkuu😁
😁😁Hii mchana halafu jumanne, sasa majukumu ya kujenga taifa saa ngapi yanafanyika...😂
Simple sana nenda sehemu ya attach file una select image yako ili tuione vizuri una click full image then unatupia.Kapachino mwalimu wangu, naomba turudi darasani. Sitakiwi kuweka full image ama? Na kufuta naenda edit, delete halafu save? Ama njoo unipe darasa. Chino ka Chino...
haha hakika dada ake bestinasoChino mjibu BL tunachelewa kuona mema ya nchi na vivutio vya taifa letu
Somo saafi kabisa.Simple sana nenda sehemu ya attach file una select image yako ili tuione vizuri una click full image then unatupia.
Ukitaka itoa unarudi kwenye post yako una click edit then remove photo alafu una save baada ya hapo inabaki comment bila picha ukifuta iyo og automatically itafutika pote kwa walioquato
Fanya ivo au wewe mzee sumbai hujamiss matetemeko ya ardhi
Ahsante teacher kwa somo. Acha nijaribu.Simple sana nenda sehemu ya attach file una select image yako ili tuione vizuri una click full image then unatupia.
Ukitaka itoa unarudi kwenye post yako una click edit then remove photo alafu una save baada ya hapo inabaki comment bila picha ukifuta iyo og automatically itafutika pote kwa walioquato
Fanya ivo au wewe mzee sumbai hujamiss matetemeko ya ardhi
😁😁😁😁!Muwe makini
Wazee wengine ni dizaini ya regional commissioner wa simiyu mnywani.
Wee sema kweli??? Hebu tuione yakwako😁!Umevaa nguo km yangu 🤣🤣