Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

sumbai anasinzia sana ndio mana vimwana wa hall 3 walikua wakimpita ntamwakilisha

Wakora waitu mnywani
Usinikumbushe kaka, kjjn wakati natoka waliniambia hao wote wanangoma. Yaan waotot wachuo wote wanangoma

Yaan, Yule MTU alinikosesha vyombo vya maaana saaana.

Juz Kati nilipita chuo pale nilikuta vitu vya maana nikatamani nirudi kuchomoa sup yangu
 
Usinikumbushe kaka, kjjn wakati natoka waliniambia hao wote wanangoma. Yaan waotot wachuo wote wanangoma

Yaan, Yule MTU alinikosesha vyombo vya maaana saaana.

Juz Kati nilipita chuo pale nilikuta vitu vya maana nikatamani nirudi kuchomoa sup yangu
Unazembea sana mkuu
Umesubiri mpaka cocastic kamaliza.

Angekuwa ana ku iniesta tu.
 
Kapachino mwalimu wangu, naomba turudi darasani. Sitakiwi kuweka full image ama? Na kufuta naenda edit, delete halafu save? Ama njoo unipe darasa. Chino ka Chino...
Simple sana nenda sehemu ya attach file una select image yako ili tuione vizuri una click full image then unatupia.

Ukitaka itoa unarudi kwenye post yako una click edit then remove photo alafu una save baada ya hapo inabaki comment bila picha ukifuta iyo og automatically itafutika pote kwa walioquato

Fanya ivo au wewe mzee sumbai hujamiss matetemeko ya ardhi
 
Simple sana nenda sehemu ya attach file una select image yako ili tuione vizuri una click full image then unatupia.

Ukitaka itoa unarudi kwenye post yako una click edit then remove photo alafu una save baada ya hapo inabaki comment bila picha ukifuta iyo og automatically itafutika pote kwa walioquato

Fanya ivo au wewe mzee sumbai hujamiss matetemeko ya ardhi
Somo saafi kabisa.

Nimekuelewa vzr saana.
 
Simple sana nenda sehemu ya attach file una select image yako ili tuione vizuri una click full image then unatupia.

Ukitaka itoa unarudi kwenye post yako una click edit then remove photo alafu una save baada ya hapo inabaki comment bila picha ukifuta iyo og automatically itafutika pote kwa walioquato

Fanya ivo au wewe mzee sumbai hujamiss matetemeko ya ardhi
Ahsante teacher kwa somo. Acha nijaribu.
 
Back
Top Bottom