Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji2][emoji2]Wasijichanganye watakuta kokoto zimerudishwa zilikotoka [emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza kunae m1 nilimtukana tusi hilo la kilugha,
Namuambia, nipe kizibao cha orange, yeye analeta mgomba wa ndizi,
Liliniboa lile li mbwaa, na vile vimacho vyao, km pumbu za watoto, mxxxxiiieeew
Yanakeraa kweliii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si ndio field huko
Yaani ni moto juu ya moto
Kuna dogo mmoja analialia anasema field hawapumziki.

Ila bora mchina kakupunguza Kasi jf maana khaah
Kwa kweliii, huku ni kisangaaa, ukirudi home uko hoii.
Yaan had li ba tamu nalichukiaa, likianza kunicheki naona linanisumbua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ‘½πŸ‘½πŸ‘½πŸ‘½πŸ‘½πŸ‘½πŸ‘½ usiku kama mchana
IMG_20240924_203816_444.jpg
 
Atakuwa na ban
Nkamu kwa heka heka za ugomvi hajambo.

Tajiri wa kimataifa ya jfπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Una roho nzuri kama ulivyo wewe mzuri πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Mrembo wangu. Halafu usifikiri nimesahau. Una shape wee dada. Hips zimetokea nakumbuka, niliona ulitupia. Yaani Selfika warembo kama wote na hamringishii Saint Anne 😍😍😍😍😍😍
 
Back
Top Bottom