Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Futa basi kama bado...kama uliniqoute mtani..πππππJf Kuna Neema za Allah ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futa basi kama bado...kama uliniqoute mtani..πππππJf Kuna Neema za Allah ππ
Mbonaaa napitwaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi na Bantu Lady ni ndugu...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ngoja nitafute mtani wanguFuta basi kama bado...kama uliniqoute mtani..πππππ
π€£π€£π€£π€£Dogo huna adabu...πππ
Yaan kajaliwa kila kitu huyu Luv BL, km ba tamu ake ni mu HB bas amemalizaaaaa.!!!Atakuwa na ban
Nkamu kwa heka heka za ugomvi hajambo.
Tajiri wa kimataifa ya jf[emoji91][emoji91][emoji91]
Una roho nzuri kama ulivyo wewe mzuri [emoji91][emoji91][emoji91]
Tayari nduguRudi kwenye hii post Edit alafu ufute
Auntiee, kunae mtu week ilopita alisemaa wee unacheka hovyo kisa meno meupe, yamgekua ya Yanga bingwa, usingethubutuu.Meno meupe bas auntie nikufundishe kupika vitumbua vya bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Picha yake uliona Coca?Yaan kajaliwa kila kitu huyu Luv BL, km ba tamu ake ni mu HB bas amemalizaaaaa.!!!
Na kwako piaMuwe na usiku mwema wana selfika wote...π₯°π₯°
Kwako pia mtaniMuwe na usiku mwema wana selfika wote...π₯°π₯°
Nikiunganisha kichwa na kile kiwili wili ebhanaaaa nimetoka na kitu moja matata sana π₯Muwe na usiku mwema wana selfika wote...π₯°π₯°
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza kunae m1 nilimtukana tusi hilo la kilugha,[emoji2][emoji2]Wasijichanganye watakuta kokoto zimerudishwa zilikotoka [emoji2][emoji2]
Kwa kweliii, huku ni kisangaaa, ukirudi home uko hoii.Si ndio field huko
Yaani ni moto juu ya moto
Kuna dogo mmoja analialia anasema field hawapumziki.
Ila bora mchina kakupunguza Kasi jf maana khaah
Hakika kabisaaa, [emoji120][emoji120][emoji120]Hongera pambana maisha ndo yanavyotaka aisee
Mrembo wangu. Halafu usifikiri nimesahau. Una shape wee dada. Hips zimetokea nakumbuka, niliona ulitupia. Yaani Selfika warembo kama wote na hamringishii Saint Anne ππππππAtakuwa na ban
Nkamu kwa heka heka za ugomvi hajambo.
Tajiri wa kimataifa ya jfπ₯π₯π₯
Una roho nzuri kama ulivyo wewe mzuri π₯π₯π₯