Nimeionaa mda ya BL, kuna wanawakee wamejaliwaaa.Picha yake uliona Coca?
Mie nimezisave[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Vyuma hivi
Ndio wanaingiza kwa uzuri kwa sasa[emoji91][emoji91]
Itakuwa kaenda jeshini ππHebu msaidieni mzee wa hall V, kujua I'd mpya ya ephen_
mimi sijakuona rudia AuntyHongera pambana maisha ndo yanavyotaka aisee
Sijaonaa picha yako, ila kuanzia kesho nitakua makini,Muwe na usiku mwema wana selfika wote...[emoji3059][emoji3059]
Hebu kwanza tutupie nyingine jamaniMrembo wangu. Halafu usifikiri nimesahau. Una shape wee dada. Hips zimetokea nakumbuka, niliona ulitupia. Yaani Selfika warembo kama wote na hamringishii Saint Anne ππππππ
Eng kama Eng hongera tuna Eng cocastic Selfika unapeperusha bendera vizuri π₯π₯π₯π₯π₯π₯Yaan kajaliwa kila kitu huyu Luv BL, km ba tamu ake ni mu HB bas amemalizaaaaa.!!!
Sasa ndo mumpe hiyo taarifa huyu mzee wa hall V.Itakuwa kaenda jeshini [emoji16][emoji23]
ππSasa ndo mumpe hiyo taarifa huyu mzee wa hall V.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu mbona Selfika Engineers wengi eti, [emoji8][emoji8][emoji8]Eng kama Eng hongera tuna Eng cocastic Selfika unapeperusha bendera vizuri [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Ahsantee my luv, unajua vile nakupenda [emoji8][emoji8][emoji8]
Unacheka, badala ya kumpa taarifa mzee wa hall V, wee vin kwema?[emoji16][emoji23]
Akija ataona hapa π π kaenda jeshiniUnacheka, badala ya kumpa taarifa mzee wa hall V, wee vin kwema?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante kipenzi mwenye hips zake Saint Anne Sasa mimi shape yako, naitamani nipungue nifike vile. Ningetupia kila muda π π π πHebu kwanza tutupie nyingine jamani
Ya kusuuzia macho kabla hatujalala
Yaani wewe upo juu mawinguni
Kwa uzuri na roho nzuri
Tajiri wa vocha za jumlaπ₯π₯
KumbeItakuwa kaenda jeshini ππ
Hayaaa!!Akija ataona hapa [emoji23] [emoji16] kaenda jeshini
Naweee pia luv, [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]Ahsante kipenzi mwenye hips zake Saint Anne Sasa mimi shape yako, naitamani nipungue nifike vile. Ningetupia kila muda [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mungu akipenda kesho nitatupia. Usiku mwema wote, [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Ubuntu botho masanda wana π π
View attachment 3105796
Msalimie wakili wanguHayaaa!!