Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nkamu Lamomy uko wapi?
Shangazi anaendeleza alipoishia Jana😂🔥🔥🔥

Keshajibu mapigo mawili Kwa picha moja
Dadeq,kama kuua ndege wawili kwa jiwe Moja..
Hadi sasa Auntie point 6_wengine 1
Keshaifunika ile avatar ya Bantu ya Baibui.
Weeh usinambie nkamu!!
Kwahiyo shangazi kapindua meza kibabe? 😹😹

Team shangazi piga keleleeeeeeee
Ubingwa tunao na tunahakikisha hauendi kokoteeee..! Kwetu rahaaaaaaaaaa.!!

Shangazi Mahondaw fanya mpango unilipe NSSF zangu, kwanza hapa naandaa “USIKU WA TALAKA” hivi unajua yule mke mwenzio talaka yake hatujamuwekea shuhuli 🤣🤣🤣
Sijapentraaa tumpelekee talaka yake, vijora vya shuhuli ninavyo elfu 25 nasemajeeee shuhuli y’a talaka tunayo..! 😹

Unaambiwa uzuri wa gari sio body ni injini mpo? Shangazi kaweza kaweza kaweza treeeeennaah.!! 🤸‍♂️🤸‍♂️

Sema nkamu na coca hivi vijora muwahi kupeleka kwa fundi mapema waviedit ili hiyo siku talaka nginjanginja mpk chugani 🤣🤣🤣
 
Lamomy yaani upo kupitwa Nkamu
Auntie kaja kivingine na code na pambaa mpya mpya za Uturuki🔥
Nimefika Nkamu tuendeleee 😂😂😂
Auntie wa moto anaweka bandika bandua, team auntie tuna rahaaaaa mi napenda hekaheka za auntie yani anatupatia kweli team yake… ni mwendo wa battle hakuna ku surrender bampa to bampa 🤸‍♂️🤸‍♂️
 
nani huyo mnywani?
Kama macho hayaoni vizuri vile au ni jeshi la mtu mmoja.

Mashallah mashallah
Wee nawe usimjaze huyo shangazi kapigana vita gani peke yake akashinda?? 🤣🤣🤣
Chino wewe ndo unafanya shangazi acheleweshe NSSF zangu ujue, utazilipa wewe ohhh.!! 😹😹😹
 
Weeh usinambie nkamu!!
Kwahiyo shangazi kapindua meza kibabe? 😹😹

Team shangazi piga keleleeeeeeee
Ubingwa tunao na tunahakikisha hauendi kokoteeee..! Kwetu rahaaaaaaaaaa.!!

Shangazi Mahondaw fanya mpango unilipe NSSF zangu, kwanza hapa naandaa “USIKU WA TALAKA” hivi unajua yule mke mwenzio talaka yake hatujamuwekea shuhuli 🤣🤣🤣
Sijapentraaa tumpelekee talaka yake, vijora vya shuhuli ninavyo elfu 25 nasemajeeee shuhuli y’a talaka tunayo..! 😹

Unaambiwa uzuri wa gari sio body ni injini mpo? Shangazi kaweza kaweza kaweza treeeeennaah.!! 🤸‍♂️🤸‍♂️

Sema nkamu na coca hivi vijora muwahi kupeleka kwa fundi mapema waviedit ili hiyo siku talaka nginjanginja mpk chugani 🤣🤣🤣
Shangazi ni mmoja tu
Hajawahi kushindwa na lolote🔥🔥🔥

Sele naye kaweza
Hadi Auntie anaanza kuvaa Baibui
Ndoa tunayo🔥🔥🔥😂
 
Umetupia vitu mapema yote hii hadi macho hayaoni vizuri mnywani!!😂😂😂😂😂😂!!!

Fanya ukuje kunifunza Surrat za Arsis kwanza
Shangazi nilipe basi mbona ubabaifu mwingi lakini 😹😹😹
Hivi kweli umesahau nilivyokaa front nikakufukuzia wale wake wenzio na shem tukamrudisha eehh.!! 😜
 
Nimefika Nkamu tuendeleee 😂😂😂
Auntie wa moto anaweka bandika bandua, team auntie tuna rahaaaaa mi napenda hekaheka za auntie yani anatupatia kweli team yake… ni mwendo wa battle hakuna ku surrender bampa to bampa 🤸‍♂️🤸‍♂️
Sema shangazi kajua kutusurprise
Tulitegemea atajibu mapigo na ile picha ya kitenge Cha Congo

Shangazi kavuka boda na bara hadi Uturuki.
Umeona mmechisho huo wa pochi?
Shangazi anakimbiza🔥
 
Happy Sabbath day wapendwa!
Muwe na sabato njema
Auntie una matashtiti namna hiyo hakuna kuwapa break ni kuwatia vichefuchefu hawakujui wewe pisi kali ya muda wote selfika 🤣🤣🤣

Ongeza nyingine kali basi tuchukue kombe letu sie, Mume tunaye na tunatamba naye awwwwheee 😹
 
Shangazi ni mmoja tu
Hajawahi kushindwa na lolote🔥🔥🔥

Sele naye kaweza
Hadi Auntie anaanza kuvaa Baibui
Ndoa tunayo🔥🔥🔥😂
Shangazi nilijua toto kutoka dubenga au mwarabu wa Oman 😜
Auntie wa moto hapoi, fashion killer..
Kila outfit inakubali haikatai sijui mnanielewa nikisema auntie Hana mpinzani??

Kwa sele yupo sana
Mbili 25
Mbili 26
Mbili 27
Mbili 28 mpk mbili 30 oyoooooooooo.!!! 🤸‍♂️🤸‍♂️😹😹
 
Back
Top Bottom