Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujambo engHello famz!!!
Weekend inasemajeee?
Kwangu ni vizuri,sijui kwako?Hello famz!!!
Weekend inasemajeee?
Figo ni nani?Mimi figo hakunipiga, Mimi zaidi ya mjanja...
Ndugu yangu Kapachino upo?
Mimi sijui...nashangaaa tuuFigo ni nani?
Mara naskia ini Figo embu tuambieni 😁😂😂😂Mimi sijui...nashangaaa tuu
Mimi namjua ini tuu, alikuwa tapeli mmoja humu jfMara naskia ini Figo embu tuambieni 😁😂😂😂
Ndio nani mkuu huyo fungua codeMimi namjua ini tuu, alikuwa tapeli mmoja humu jf
CocaNakuonaa davoo unakanyaga mafuta, [emoji91][emoji91][emoji91]
Lamomy yaani upo kupitwa NkamuHappy Sabbath day wapendwa!
Muwe na sabato njema
Weeh usinambie nkamu!!Nkamu Lamomy uko wapi?
Shangazi anaendeleza alipoishia Jana😂🔥🔥🔥
Keshajibu mapigo mawili Kwa picha moja
Dadeq,kama kuua ndege wawili kwa jiwe Moja..
Hadi sasa Auntie point 6_wengine 1
Keshaifunika ile avatar ya Bantu ya Baibui.
Nimefika Nkamu tuendeleee 😂😂😂Lamomy yaani upo kupitwa Nkamu
Auntie kaja kivingine na code na pambaa mpya mpya za Uturuki🔥
Wee nawe usimjaze huyo shangazi kapigana vita gani peke yake akashinda?? 🤣🤣🤣nani huyo mnywani?
Kama macho hayaoni vizuri vile au ni jeshi la mtu mmoja.
Mashallah mashallah
Shangazi ni mmoja tuWeeh usinambie nkamu!!
Kwahiyo shangazi kapindua meza kibabe? 😹😹
Team shangazi piga keleleeeeeeee
Ubingwa tunao na tunahakikisha hauendi kokoteeee..! Kwetu rahaaaaaaaaaa.!!
Shangazi Mahondaw fanya mpango unilipe NSSF zangu, kwanza hapa naandaa “USIKU WA TALAKA” hivi unajua yule mke mwenzio talaka yake hatujamuwekea shuhuli 🤣🤣🤣
Sijapentraaa tumpelekee talaka yake, vijora vya shuhuli ninavyo elfu 25 nasemajeeee shuhuli y’a talaka tunayo..! 😹
Unaambiwa uzuri wa gari sio body ni injini mpo? Shangazi kaweza kaweza kaweza treeeeennaah.!! 🤸♂️🤸♂️
Sema nkamu na coca hivi vijora muwahi kupeleka kwa fundi mapema waviedit ili hiyo siku talaka nginjanginja mpk chugani 🤣🤣🤣
Shangazi nilipe basi mbona ubabaifu mwingi lakini 😹😹😹Umetupia vitu mapema yote hii hadi macho hayaoni vizuri mnywani!!😂😂😂😂😂😂!!!
Fanya ukuje kunifunza Surrat za Arsis kwanza
Sema shangazi kajua kutusurpriseNimefika Nkamu tuendeleee 😂😂😂
Auntie wa moto anaweka bandika bandua, team auntie tuna rahaaaaa mi napenda hekaheka za auntie yani anatupatia kweli team yake… ni mwendo wa battle hakuna ku surrender bampa to bampa 🤸♂️🤸♂️
Auntie una matashtiti namna hiyo hakuna kuwapa break ni kuwatia vichefuchefu hawakujui wewe pisi kali ya muda wote selfika 🤣🤣🤣Happy Sabbath day wapendwa!
Muwe na sabato njema
Shangazi nilijua toto kutoka dubenga au mwarabu wa Oman 😜Shangazi ni mmoja tu
Hajawahi kushindwa na lolote🔥🔥🔥
Sele naye kaweza
Hadi Auntie anaanza kuvaa Baibui
Ndoa tunayo🔥🔥🔥😂