Ss hivi auntie shopping anafungia dubai hiyo pochi yβa Channel og, shati yβa ZARA kwetuuu rahaaaa.!!Sema shangazi kajua kutusurprise
Tulitegemea atajibu mapigo na ile picha ya kitenge Cha Congo
Shangazi kavuka boda na bara hadi Uturuki.
Umeona mmechisho huo wa pochi?
Shangazi anakimbizaπ₯
Auntie alisema kwake ni mwisho reliShangazi nilijua toto kutoka dubenga au mwarabu wa Oman π
Auntie wa moto hapoi, fashion killer..
Kila outfit inakubali haikatai sijui mnanielewa nikisema auntie Hana mpinzani??
Kwa sele yupo sana
Mbili 25
Mbili 26
Mbili 27
Mbili 28 mpk mbili 30 oyoooooooooo.!!! π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπΉπΉ
Nadhani anafanya IstanbulSs hivi auntie shopping anafungia dubai hiyo pochi yβa Channel og, shati yβa ZARA kwetuuu rahaaaa.!!
Na shangazi wapambe kapata ashindwe yeye kujimwaya mwaya mwaka huu. πΉπΉ
Treeeenaah sijui wanaelewa lakini?Auntie alisema kwake ni mwisho reli
Bwana atazunguka weeeh halafu atarudi
Hajaree wala nini.
Shangazi hata alivaa gunia linamkaa..body ya nguo hiyo.
Shangazi kajua kutusua sanaTreeeenaah sijui wanaelewa lakini?
Auntie ni mmoja tyuuu.!! Hiyo watake ndio hawataki ndio π€£π€£π€£
Ningekuwa mimi ndio shangazi ningewajibu, βMimi nikikuachia ujue nimemchokaβ πππyani km sijamchoka bwana humpati na ukikaza fuvu utatumiwa kwa muda kisha bwana atarudiii watu tumeogeshwa buanaaa na tumefundwa tukafundikaβ¦!!! π€£π€£π€£
Nkamu shangazi afanye tupeleke talaka nginjanginja kwanza πΉπΉ
Au Pariiiii kabisa π€£π€£π€£Nadhani anafanya Istanbul
Shangazi ni wa kimataifa kitambo π₯
Auntie bday anapewa bunch ya flowers na dollars πShangazi kajua kutusua sana
Na ile midolari imefungwa kama maua kwenye birthday zake
Hatari sana
Jf nzima inatetemeka
Akimaliza mitano,apewe mitano βπΏmingineAuntie bday anapewa bunch ya flowers na dollars π
Shangazi yuko juu mawinguni, kweli huu mwaka wetuuu.!!
Kwetuuu rahaaa team shangazi woyeeeeee.!!
Shemeji Sele safiiiii?!!!
Mitano tena kwa shangazi na shem πππ
Shangazi kwanza anang'aa ngozi utasema anaogea maziwa.Au Pariiiii kabisa π€£π€£π€£
Sele kaweza, mi shopping ya shangazi anakwea mwewe watu weweeeehh.!!
Shogaangu Kapeace fanya na wewe nikusindikize ukanunue viwalo Pariii basi nna hamu ya kuchafua passport πΉπΉπΉ
Kwanza atulipe bana, ujue shangazi mapozi yamezidi kwa Sele siku mbili tatu hizi sio kwa fagio tulilomfagilia π€£π€£π€£Akimaliza mitano,apewe mitano βπΏmingine
Kama CCM yaani
Shangazi alilia sana,tukamfuta machozi...sasa ni wakati wake wa kujimwayamwaya.
Mimi mafao aambatanishe na vochaKwanza atulipe bana, ujue shangazi mapozi yamezidi kwa Sele siku mbili tatu hizi sio kwa fagio tulilomfagilia π€£π€£π€£
Auntie nakutumia lipa namba unilipe hata nusu buana weeh πΉπΉ
Auntie kahama huko maporini kitambo Kwani huna taarifa? π€£π€£Shangazi kwanza anang'aa ngozi utasema anaogea maziwa.
Hapo yupo mtukula anapigwa na vumbi huko
Imagine angekuwa Dar shangazi angekuwaje.
Shangazi ndio bosslady wa kwanza humu, na kasema vocha tunazo wapambe wake.! πMimi mafao aambatanishe na vocha
Boss ledi hajawahi kufeli
Kwenye vocha alishanipaga za kutosha,Shangazi ndiye mwanzilishi w vochaπ₯π₯π₯
Haya mwite
Mafao yetu kwanza,ndipo kazi iendelee.
Mashemela wenyewe wameweka makofuli itabidi tuwaandalie semina aroo wasitufanyie hivyoAu Pariiiii kabisa π€£π€£π€£
Sele kaweza, mi shopping ya shangazi anakwea mwewe watu weweeeehh.!!
Shogaangu Kapeace fanya na wewe nikusindikize ukanunue viwalo Pariii basi nna hamu ya kuchafua passport πΉπΉπΉ
πππ Huyo sasa anatafutwa kurogwa wee muache haiwezekani atusumbue πΉMashemela wenyewe wameweka makofuli itabidi tuwaandalie semina aroo wasitufanyie hivyo
Tena shangazi alivyo na roho nzuriShangazi ndio bosslady wa kwanza humu, na kasema vocha tunazo wapambe wake.! π
Shangazi tajiriiiiiiiiiiii wa kwanza na wa mwisho hana mpinzani, km naongea uongo wajitokeze..! π€£π€£π€£
Mafao muhimu atulipe hata kwa Mpesa mweh tumepambana kumpigania shangazi, mpk hatulali kwa wakati.. mi nilitishiwa talaka moja kisa shangazi kumpigania..! π€£π€£π€£
πππππππππAhaaa.! Shangazi kapangishiwa apartment kijichi πππ
Shangazi bado kununuliwa ist na shem sele na shule nasikia shem kamwambia anampeleka Feza akafundishe watoto wa vibopa π€£π€£
Sema shangazi Sele akikaa vibaya nampeleka kwa boss wa wananchi πππ shangazi kisu buana tumtoe mama krish
Kapeace ndani ya mjengoππ₯π₯π₯π₯π₯π₯Mashemela wenyewe wameweka makofuli itabidi tuwaandalie semina aroo wasitufanyie hivyo
Shangazi mbona sio shida zake we subiri aje uone wapambe wake tunavyooga vocha, shangazi za voda ziwe nyingi nijaze bando tuendelee kukupamba thawaaa.!! πΉπΉTena shangazi alivyo na roho nzuri
Anaweza kuzinwaga vocha hapahapa tunaonaπ₯π₯
Nadhani hakuna aliyefika level zangu za upambe kwa shangazi enzi hizo.
Mafao kwanza π₯