Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 2,904
- 7,489
UshashtukaNimegoma
Kwenye heka heka zako za ulimwengu
Haujawi pigwa tukio la kukopwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UshashtukaNimegoma
Wew tulia usivae saa za afu mbili hizi Vaa saa kuanzia afu 50 🤣🤣🤣Shangaziii naomba [emoji355], [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkopo wa bank na kausha damu maumivu yake ni tofauti ujueUshashtuka
Kwenye heka heka zako za ulimwengu
Haujawi pigwa tukio la kukopwa
Wew tulia usivae saa za afu mbili hizi Vaa saa kuanzia afu 50 🤣🤣🤣
Tunafanya muamala hata kabla hujapanda bolt tunaurudisha kwa njia ya kukosea naona hii ndo inaumiza sanaMkopo wa bank na kausha damu maumivu yake ni tofauti ujue
Short cake ndio cake gani?mambo juma mosi natamani kupika short cake embu nielekeze kidogo
Short cake ndio cake gani?
Jina limenichanganya
Hata barua lazima iwe na introduction, kwenda kwenye mada moja kwa moja ni rudeKuliko mtu kuja pm kila siku kunisalimia zile za uko poa, mambo na nambie bora tuzifunge tu, kukaushana mate kujaza pm zisizo na maana,
🤣🤣🤣🤣Pisi zinawalalamikia mnashinda sana Pm bila faida yoyote.
Mtu last seen April 25, ila Pm yuko live mpaka sasa!!
Hii ni hatari sana aisee.🤣🤣🤣🤣
Yaani ni kero balaa.Kuliko mtu kuja pm kila siku kunisalimia zile za uko poa, mambo na nambie bora tuzifunge tu, kukaushana mate kujaza pm zisizo na maana,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani ni kero balaa.
Mtu cha maana hana, salamu ndefu kama sijui kitu gani.... halafu sasa bora wangekuwa na ishu za maana, yaani ni mambo?, upo?, nakuona jukwaani, za wapi?,.... siku hizi uko kimya sana 🤬🤬🤬🤬.
Yaani mtu asikuone umecomment mahali, huyoooo 🏃🏃🏃anakuja pm!!!
Wa kutuma pesa wako wapi?😏🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnataka piem tuongee nini zaidi ya Salam nakujuliana Hali??
Tukiwaaa approach mnatutoa ngeu...
Tukiwaambia weka namba mtumie pesa mnaogopa🤣🤣
Sio kwa ninyi bhana.🤣🤣🤣🤣
Wambie wanakosa deals za msingi saana na pesa.
Wooooote!!