sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Kuna new generation mpya bado haijaingia kwenye huu mgomo. So Acha waendelee kugoma.Wooooote!!
Na mgomo unaendelea 🤸🤸🤸🤸🤸
Mwendo WA kutafuta chaka jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna new generation mpya bado haijaingia kwenye huu mgomo. So Acha waendelee kugoma.Wooooote!!
Na mgomo unaendelea 🤸🤸🤸🤸🤸
Ooh ni rahis nitakuletea mida ya Saa nne chagua za kawaida au biscuit za tangawiz?ila vizuri uwe na ovenlike biscuits
Ooh ni rahis nitakuletea mida ya Saa nne chagua za kawaida au biscuit za tangawiz?ila vizuri uwe na oven
Kazi yao kubwa ni kutuchosha na kutukera, tu bora kuwafungia mlangoYaani ni kero balaa.
Mtu cha maana hana, salamu ndefu kama sijui kitu gani.... halafu sasa bora wangekuwa na ishu za maana, yaani ni mambo?, upo?, nakuona jukwaani, za wapi?,.... siku hizi uko kimya sana 🤬🤬🤬🤬.
Yaani mtu asikuone umecomment mahali, huyoooo 🏃🏃🏃anakuja pm!!!
Hatufunguiiiiiiii yani mpaka wakome hizo mambo wakaambiane wao kwa waoWa kutuma pesa wako wapi?😏
Labda waliojiunga jana, ila nyie minyapara ya miaka na miaka....thubutuuuuuuu!!!!
Kweli sio wote mawinga, wapo wenye shida kweli kweli na lazima wamuone mtu pm, tatizo mnajiharibia wenyewe kwa wenyewe....mna-screenshot maongezi, kisha mnaanza kuzitembeza kwa wengine
Au mnaalika wengineo kwenye maongezi yenu...for what 🤷🤷?
Nagongelea msumari,🔨🔨 hakuna kufungua pm!!
😄😄!Ushashtuka
Kwenye heka heka zako za ulimwengu
Haujawi pigwa tukio la kukopwa
Navyojua wewe mzee ni mtoaji sana kama hawaamini wakamuulize FigoKuna new generation mpya bado haijaingia kwenye huu mgomo. So Acha waendelee kugoma.
Mwendo WA kutafuta chaka jipya
Hapa mpo wengi saana.Wakae Kwa kutulia kabisa tunasalimiana na kujibu hapa hapa 😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Navyojua wewe mzee ni mtoaji sana kama hawaamini wakamuulize Figo
Ndo mana yake, mambo kwa uwazi....mambo kwa ushahidi!!Wakae Kwa kutulia kabisa tunasalimiana na kujibu hapa hapa 😃
Hahahahaha binti mpole Kama wewe unaanzaje kufunga piem??Hatufunguiiiiiiii yani mpaka wakome hizo mambo wakaambiane wao kwa wao
Yaan Madame B, wewe hujafunga piem...Ndo mana yake, mambo kwa uwazi....mambo kwa ushahidi!!
Yaani ni mwendo wa "hapahapa jukwaani".....haendi mtu Pm hapa.Hatufunguiiiiiiii yani mpaka wakome hizo mambo wakaambiane wao kwa wao
Safi sana, dawa iwaingie vizuri.Kazi yao kubwa ni kutuchosha na kutukera, tu bora kuwafungia mlango
Unajifariji....safi sanaKuna new generation mpya bado haijaingia kwenye huu mgomo. So Acha waendelee kugoma.
Mwendo WA kutafuta chaka jipya
🙌🙌🙌Yaani ni mwendo wa "hapahapa jukwaani".....haendi mtu Pm hapa.
Mpaka wanyooke....😂😂😂