Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ntwk ishakua tabu
Mlale unono jmn
Mlale unono jmn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana, kuna sehemu nilikusoma origin yako ni either BK ama Kwa KagameHuyo Mzee mwenzio kachanganya mafaili 🤣🤣
AhhhahhhhhhahahahahaNtwk ishakua tabu
Mlale unono jmn
supu...supu....supu ndo chakula inayofaa wazee, chips kavu tuachie wanaobalehe🙊Inawezekana, kuna sehemu nilikusoma origin yako ni either BK ama Kwa Kagame
Kwa kuwa umri wangu umesogea, huenda nikawa nimesahau
But all in all, umetokea kunakofanyika Kilimo cha umwagiliaji 🙌🏃🏃🏃
Naaam....!Si hawana nguvu za kubebelea mizigo, basi wanapenda viportable balaa
Mnatukunja chap chap basi unajikuta fundi kumbe upotabo wa mnyumbulikajiNaaam....!
Atleast mizigo inahitaji nguvu kubwa mno.
Wazee tunataka ahueni atleast
Pokea maua yako, wewe unajua nini Wazee wanapenda🤗supu...supu....supu ndo chakula inayofaa wazee, chips kavu tuachie wanaobalehe🙊
Ulale sasa bibi msalimie sana mpe hongera kukumudu mzee km wewe sio mchezoPokea maua yako, wewe unajua nini Wazee wanapenda🤗
Ingekuwa Vijana wamelala ningesema kitu, ila Wacha nikae nayo Kwa roho hadi Siku utakayoniletea Kiko 🏃🏃
Nitafikisha salamu, ila fanya kunitumia japo selfi ya mwaka 47 nisuuze nafsi yangu Mjukuu 🙏Ulale sasa bibi msalimie sana mpe hongera kukumudu mzee km wewe sio mchezo
Babu usije kuvunja mawani yako mi sina hela ya kukununulia nyingineNitafikisha salamu, ila fanya kunitumia japo selfi ya mwaka 47 nisuuze nafsi yangu Mjukuu 🙏
Mfate aisee asikuzubaishe😂Ntamtafuta pm nichat naye mambo ya maana
Hapa jukwaani tuko busy na upuuzi wa vichaka vya shangazi wakati shemeji ushahitimisha Kwa kununua slasher.
Keshooo weekend!! [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]Mi pia mwaya! [emoji4]
Nifurahishe na ka-selfie basi [emoji6]
Naona una Mitsubishi outlander😂😂Panapo Majaaliwa, kesho nitaiweka hapa.
Kwasasa nipo napambana na foleni za Mjini Mjukuu
View attachment 3115393
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimebahatika kuwa karibu na wazee tabia zenu wanaume wengi zinafanana kwa karibu, hasa kupenda downtown, bamkwe naelewana nae ananikubali kinoma mpaka mwanae analeta viwivu, marehemu babu huyo tulikuwa marafiki mno hadi wajukuu wengine walikuwa wanaona wivu, na hii inaenda hadi kitaa nikiingia sehemu nikakuta aged men automatically tu nakuwa karibu nao kupiga stories, acha niwapende 'wazee' tu naona ndo nyota yangu ilipo,
Siku tuko club na wadogo zangu nikakutana na kijana wa zamani tukapiga story mnooo akatupiga offer nzito nzito akawaambia ndg yenu ana akili kuwazidi wote basi tangu hapo naitwa mama wa wastaafu[emoji1787][emoji1787]
Unaishi sintimbi?😂Ntwk ishakua tabu
Mlale unono jmn
Sijaona picha yako mama mtumishiii, [emoji22][emoji22][emoji22]Ntwk ishakua tabu
Mlale unono jmn
Siku hizi huna raha kabisa, muda wowote unapinduliwa😩😂Keshooo weekend!! [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
Hahahaha.................kesho chapu nakuja gereji kwenu 🤗Naona una Mitsubishi outlander😂😂
Tuletee gereji kwetu, huwa zinasumbua sana cv joints😂