Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyo Mzee mwenzio kachanganya mafaili 🤣🤣
Inawezekana, kuna sehemu nilikusoma origin yako ni either BK ama Kwa Kagame

Kwa kuwa umri wangu umesogea, huenda nikawa nimesahau

But all in all, umetokea kunakofanyika Kilimo cha umwagiliaji 🙌🏃🏃🏃
 
Inawezekana, kuna sehemu nilikusoma origin yako ni either BK ama Kwa Kagame

Kwa kuwa umri wangu umesogea, huenda nikawa nimesahau

But all in all, umetokea kunakofanyika Kilimo cha umwagiliaji 🙌🏃🏃🏃
supu...supu....supu ndo chakula inayofaa wazee, chips kavu tuachie wanaobalehe🙊
 
supu...supu....supu ndo chakula inayofaa wazee, chips kavu tuachie wanaobalehe🙊
Pokea maua yako, wewe unajua nini Wazee wanapenda🤗

Ingekuwa Vijana wamelala ningesema kitu, ila Wacha nikae nayo Kwa roho hadi Siku utakayoniletea Kiko 🏃🏃
 
Pokea maua yako, wewe unajua nini Wazee wanapenda🤗

Ingekuwa Vijana wamelala ningesema kitu, ila Wacha nikae nayo Kwa roho hadi Siku utakayoniletea Kiko 🏃🏃
Ulale sasa bibi msalimie sana mpe hongera kukumudu mzee km wewe sio mchezo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…