Selfika na JF: Snap it. Show it

Hiyo ni hapo Melela Mkoa wa Morogoro, Kuna sehemu wanauza nyama ya Mbuzi ..

Ukiwa hauna haraka, utakula nyama ya Mbuzi hadi uchoke kutafuna

Shilingi 25k unakula mguu wote wa nyuma πŸ€—
mpaka magoti yafe kwa gout ndo mtaelewa nyie wazee
 
Hiyo ni hapo Melela Mkoa wa Morogoro, Kuna sehemu wanauza nyama ya Mbuzi ..

Ukiwa hauna haraka, utakula nyama ya Mbuzi hadi uchoke kutafuna

Shilingi 25k unakula mguu wote wa nyuma πŸ€—
Wamasai hapo melela hawana bei kabisa, hata maziwa lita 1 wanauza sh.200
 
Nkamu Saint Anne hivi kuna gari ya kutoka Mbeya kwenda Mwanza ambayo ina usalama kutuma mzigo??

Kuna mizigo inatakiwa nitume sasa nataka uhakika isije kupotea, hebu njoo unisaidie aisee.!!
 
Nkamu Saint Anne hivi kuna gari ya kutoka Mbeya kwenda Mwanza ambayo ina usalama kutuma mzigo??

Kuna mizigo inatakiwa nitume sasa nataka uhakika isije kupotea, hebu njoo unisaidie aisee.!!
Sina umelewa sana na hizi routes
Ila gari zipo
Hizo premier sijui katarama
 
Nasemaje safari tunayo mwisho wa Mwaka Kwa gharama za Babu πŸ€—
Kapeace siongei maneno mengi nadhani umejionea babu alivyonyooka 😹😹😹

Babu G hili goma lako nakwambia makesure umenitumia pesa ya kumsindikiza mrembo akatengeneze kucha kwa mtoto Iddy 😹
 
Sina umelewa sana na hizi routes
Ila gari zipo
Hizo premier sijui katarama
Hiyo mizigo kuna dogo anatoka nayo border Tunduma sasa inatakiwa aitume Mwanza, nimeumiza kichwa sipati jibu..!
Dah.! Sijui ntafanyaje hao katarama na premier nilitaka uzoefu wao, mana kampuni zingine zinapoteza mizigo ya watu.
 
Kapeace siongei maneno mengi nadhani umejionea babu alivyonyooka 😹😹😹

Babu G hili goma lako nakwambia makesure umenitumia pesa ya kumsindikiza mrembo akatengeneze kucha kwa mtoto Iddy 😹
Ashindwe yeye tu πŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…