Wanasema kuangalia Jinsia tofauti ni tiba...Hawa watoto wa 2000 kwako si vilembwe hawa mzee.
Haha wazee wa sasa hivi mi nilidhani utaishia kwenye 199s
๐๐Sindiyo Bro..
Muache ajichanganye..!!
Hii ni Crown athleteF Challenge
View attachment 3121543
Hahaha...............hayo mambo ni Vijana, Mimi Kwa umri huu naishia kula Kwa macho ๐
Sorry for late replyGood morning Tayana-wog
๐
๐๐๐ babu huyo
Vipi bado hajarudia kumeza kitampi ๐น๐น๐นSijui kama atairudia
Asipoirudia nitakutumia
Uone shangazi yetu alivyo na vipaji vingi hadi vya kumeza tumbo
Thubutuuu.!! ๐คฃ๐คฃ๐คฃAnawapigaga mkwara wakina wanaman
Eti hajaree
Muongo
Hawakumuona kipindi ana machawa alivyokuwa anatamba
Hilo swali chino hawezi kujibu ๐น๐นMnywani na Kapeace
Nani mkali zaidi?
Toa jibu ๐นHaha unataka unifunge wewe!
Kumbe unajua, sasa unachoshindwa kumchana shangazi nini?? ๐น๐นkabla ya vita ya mashariki ya kati kuzuka nilikua mtupiaji mkuu sana humu ujue.
Sema ulikuwa busy ukimpatia silaha Israel avishambulie vikundi vya ugaidi vya Hezbollah na hammas
Ubaya ni kwamba hakimezekiVipi bado hajarudia kumeza kitampi ๐น๐น๐น
Ila shanga ana hekaheka sana
Halafu ss hivi si tunachangamsha kijiwe, tumeokoka nkamu gwangu si eti? ๐น๐น๐นKumbe na wewe ni shahidi eeh nilivyokuwa chawa mpambe wa mnywani wako๐๐๐
Afu sahivi anakudanganya eti jeshi la mtu mmoja bila backup
Haya
Tupia basi nikuone.
Vita zishaisha,amani imetawala
Waliogombana washayamaliza
Tarehe hizi shangazi anatoa wapi Hela?Thubutuuu.!! ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Yeye shanga atulie sisi ndio wanajeshi wake wa vita na hili analijua vizuri labda km anajizima dataโฆ!!
Waasi walikuwa wanaenda kumpoteza na huyo sele asingerudi.. em kwanza atulipe NSSF zetu ๐น๐น๐น
Anashuhudia namna mnywani wake anatupwa nje ya top3Hilo swali chino hawezi kujibu ๐น๐น