Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

F Challenge
20241011_084955.jpg
 
Hawa watoto wa 2000 kwako si vilembwe hawa mzee.

Haha wazee wa sasa hivi mi nilidhani utaishia kwenye 199s
Wanasema kuangalia Jinsia tofauti ni tiba...

Wakati tunasoma Shule za boys tupu miaka ile, tulikuwa tunaletewa girls kutoka Shule za wasichana tupu ili walau tucheze nao Muziki..

Kwa kuwaona vile tu, unakuta ghafla umepona 🤗
 
Anawapigaga mkwara wakina wanaman
Eti hajaree

Muongo
Hawakumuona kipindi ana machawa alivyokuwa anatamba
Thubutuuu.!! 🤣🤣🤣

Yeye shanga atulie sisi ndio wanajeshi wake wa vita na hili analijua vizuri labda km anajizima data…!!
Waasi walikuwa wanaenda kumpoteza na huyo sele asingerudi.. em kwanza atulipe NSSF zetu 😹😹😹
 
Kumbe na wewe ni shahidi eeh nilivyokuwa chawa mpambe wa mnywani wako😂😂😂
Afu sahivi anakudanganya eti jeshi la mtu mmoja bila backup

Haya
Tupia basi nikuone.
Vita zishaisha,amani imetawala
Waliogombana washayamaliza
Halafu ss hivi si tunachangamsha kijiwe, tumeokoka nkamu gwangu si eti? 😹😹😹

Na tunapambana kumrudisha shangazi sokoni 🤣😹
 
Thubutuuu.!! 🤣🤣🤣

Yeye shanga atulie sisi ndio wanajeshi wake wa vita na hili analijua vizuri labda km anajizima data…!!
Waasi walikuwa wanaenda kumpoteza na huyo sele asingerudi.. em kwanza atulipe NSSF zetu 😹😹😹
Tarehe hizi shangazi anatoa wapi Hela?
Au za uandikishaji daftari la wapiga kura.
 
Back
Top Bottom