Sehemu mbili tofauti. Samaki ni Nyumbani Park, hapo ni Star Park. Ukitoka round about ya Msamvu kuelekea Dom kona ya kwanza kushoto ndio ipo hio star Park. Pana fujo sana watoto wengi.Hapa ndio zamani palikuwa panaitwq samak samaki? Kuna maua mazuri saana apo
Ha ha ha ile picha niliona umepiga huo upande wa jukwaa, nilipoingia tu nikatupa macho upande huo bila bila π€£π€£π€£Sio mimi, lakini siku nyingine umtume kijana basi nisije nikakosa kutuzwa! π
Alafu ukija tena mshtue yule mama wa mishkaki karibu na stage, aniite π
ππ€£
Engine ndo uhaiππππππ
Mshangazi wa haja....Picha tunayo na tunatamba nayo.πππ
Ooh i didn't know i just do exercise with locals football exercise... I practice mostly at osterbay soccer pitch when in DsmMkuu hapo ni viwanja vya kinyerezi near kinyerez park.
Msalimie Yule mchaga mwalimu WA mazoezi mwenye kaspika kake
Mganga mstΓ aafu
Naziona goli 5 nikikufunga mkuu π πNtakula chuma mbili
Mfungaji
Ateba
Deborah
Heshima Kwa shangazi....Mshangazi wa haja....
Inshallah ikawe kheri ππ dube kesho ana maliza kazi
Kabisa, sisi tunazeeka miili tu....ila mambo mengine ni π― π―ππHeshima Kwa shangazi....
Wanasema ng'ombe hazeeki maini
Nasubir mahela hayo
Hivi wewe hunaga shati lingine ni hilo hilo moja πΉπΉπΉ
Babu hapo hapakufai wewe nenda Florida kule kuna walugulu band, kuzuri kwa wazee πΉπΉView attachment 3126970
Siku moja moja sio vibaya kujumuika na Vijana kukumbukia enzi za Mwaka 47 π€
Baba tamu mzima? πΉConnection ina wenyewe cc, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shati hili litaongea πΉπΉ
Jamani tena πΉπΉπΉ
Na gushati gwake πΉπΉMtt wa kishua nakuonaπ