bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
Mwenye huo mkono namjua 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye huo mkono namjua 😂😂😂
Team Capten 47Hongera sana dogo
Naona miaka hii mmeboreshewa sana Sare zenu
Mwaka 47 wakati tunapigana na Nduli Iddi Amin hatukuwa na Sare nzuri kama zenu 🙌
Hahaha..............usiniambie ulikuwa sehemu ya kikosi cha miguu kilichotangulizwa mbeleTeam Capten 47
Pole sana, ungekuwa unatumia hiyo mboga kama jamii ya Wachina usingepata shida kumuua.Imagen nimkuta kwenye sink la chooni ameingilia wapi sijui ase hawa wadudu
Grahams De Opera Zulu man Half american Lamomy
View attachment 3176655
Ahaha huyu ata kuliwa hafaiPole sana, ungekuwa unatumia hiyo mboga kama jamii ya Wachina usingepata shida kumuua.
Ulitakiwa kumkamata na kumwandaa Supu 😜
Huyo alikuja kukusalimia.Imagen nimkuta kwenye sink la chooni ameingilia wapi sijui ase hawa wadudu
Grahams De Opera Zulu man Half american Lamomy
View attachment 3176655
Hahaa...kwahiyo defense yangu iwe ile singe sio, baada ya kuwa out ammo 😂😂😂Hahaha..............usiniambie ulikuwa sehemu ya kikosi cha miguu kilichotangulizwa mbele
Angeliwa iwapo mngemkamata kawaida.Ahaha huyu ata kuliwa hafai
Naona ulimtumaHuyo alikuja kukusalimia.
Ni nani😁😁😁?Mwenye huo mkono namjua 😂😂😂
Mchele haumwagiki hapa jamvini hata iweje 😄😄Ni nani😁😁😁?
😁😁😁🥶Sawa vzuriMchele haumwagiki hapa jamvini hata iweje 😄😄
We bidada nisikupe presha bure, sikufahamu hata ....nimepasha vidole moto tu through Typing 🤗😁😁😁🥶Sawa vzuri
😁😁😁😁😂😂😂SawaWe bidada nisikupe presha bure, sikufahamu hata ....nimepasha vidole moto tu through Typing 🤗
Chief Bogo 😄, kumbe na wewe mdau
Kama kuna binti wa kigoma ulimkataa, basi ndio alikuja kukuona kwa staili hiyo. 😀Naona ulimtuma
Ahahah wakigoma yupo now anauza mayai?Kama kuna binti wa kigoma ulimkataa, basi ndio alikuja kukuona kwa staili hiyo. 😀