Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante kaka, huu ni mlo gani wa usiku mbona kama vitafunio...
Shukrani kijana,hauko na ugali mgumu hapo? Nataka kukaribishwa ugali
Bagia na mtindiasante kaka, huu ni mlo gani wa usiku mbona kama vitafunio...
Usiku usile ugali kula vyakula lain matunda au vitafunwaShukrani kijana,hauko na ugali mgumu hapo? Nataka kukaribishwa ugali
Aaah nilisahau kumbe ni usiku 🤣Usiku usile ugali kula vyakula lain matunda au vitafunwa
KabisaAaah nilisahau kumbe ni usiku 🤣
Sawa,namuangalia bibi yako hapa ....hakika ni mrembo haswaaaaa!!!Kabisa
Nambie kakaboss kubwa
Kwa msosi huo, sioni mkitoboa kuzalisha watoto wengi kama Wazee wenu hapa 😜
Ana zeeka na urembo wake etSawa,namuangalia bibi yako hapa ....hakika ni mrembo haswaaaaa!!!
Ahahah mchana ndio unatakiwa kula kushibaKwa msosi huo, sioni mkitoboa kuzalisha watoto wengi kama Wazee wenu hapa 😜
Kwema lakini? 🤗
Hakika, nikinywa maji namuona kwa kihifadhio cha maji, hapa nilipo kila sehemu namuona yaaan ananivuruga akiliAhahah mchana ndio unatakiwa kula kushiba