Kwa wapenda mashine huu mguu una mguu mwenzie mfupiHuo mguu nimeuelewa
Mkuu mzungu ,wakorea wote hao hao.Mkuu kwanza tunakushukuru kutujulisha yule mdada izo picha sio zake... Mimi mwenyewe nilijua ni zakwake..
ila mkuu naomba samahani kukuambia tumia werevu kidogo tu... Utagundua hizo picha sio za kizungu...
Tofautisha ngozi ya kizungu na hiyo kwenye picha
Njoo kwangu bana tubadilishane lipsnaomba zile lips zako
Asante sana kwa hii comment mkuu utakuwa unapenda kuku wa kienyeji wewe eti!Tunapenda kuibiwa hiyo ndio sababu.
Waliopost zao hatujaziona ila zilizopostiwa za kizungu ndio tumezipenda.
We kaka wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha Soudy Brown karibu kila siku watu wanamuona macho ila wengi wao hawajawahi kuijua sura yake ikojewanasema ukitaka kumjua mtu had uone machoView attachment 1219732
Woyoooo!!Kwakuwa ziko mtandaoni haimaanishi sio zake mkuu nikukosoe kidogo
Kuhusu rangi za wadada, wapo wadada humu wana rangi kali tatizo camera mzee
Quality ya picha za beyonce siwezi kujilinganisha nayo mimi kajamba nani, lakini uhakika ninao kuwa humu kuna visu kuliko hata mnavyoweza kufikiria
Asante mkuu kwa kutupenda hivyo hivyo na makunyanzi yetu,,, safi sana
Hannah Cresida Depal
Mchaga 😂Mkuu mzungu ,wakorea wote hao hao.
Huyo ni mkorea.
Kwani wewe ulikuwa unataka kusema ni mwafrika au Black America?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama kuna watu nawaonaa
Umeunyanyapaa mwili wanguHee mbona hivyo tena
HaleluyahSijapenda ngozi nyeupe ipaizwe mbele ya dada zetu na mama zetu Waafrika.
poapoa usijaliNjoo kwangu bana tubadilishane lips
Ulisema samahani kwa kuwaridhisha.
Kwa sababu waliwaka. Ila baada ya kujua ukweli ingependeza uombe radhi kwa kuukashfu uafrika na kushobokea ngozi nyeupe au sio boss?
Sasa si pozi ntakaloweka lazima tuvidole tuonekane; au unataka nichambwe nkamu kuwa vidole vyangu vinafanana na matoke?Yaani unakuja kutupostia kucha kweli?? Hebu mimi nitumie full body pm naona labda wengine hawataki!!
@mzee toboa umetoboa boti! Great thinker indeed[emoji109]Nimepitia huu uzi comment moja baada ya moja.
Sikutaka kucomment hadi nilipoona mjadala kuhusu picha zinazosemekana ni mwanadada Scorpio me zikitumika kukandamiza warembo waliopost picha zao huku.
View attachment 1219660
Hii ni picha aliyopost akiwa ufukweni na hapo alipoitoa hiyo picha.
View attachment 1219661View attachment 1219662
Kwa ambao mlikuwa mnashobokea hizi picha huyu mdada sio mtanzania wala sio Mwafrika.
Hivo msikandie vyakwenu kwa kusifia vya kizungu/kiarabu.
Hizo ni picha alizopost Scorpio akisema ndio katoka kuniaje.
View attachment 1219664View attachment 1219665
Hiyo ya miguu haina haja ya maelezo.
Na nyinginezo ni hii View attachment 1219666
Lengo la kusema haya ni kuwakumbusha nyie vijana msidanganywe na rangi utamu wa chai ni sukari.
Msitamani ngozi nyeupe na kuona uafrika ni old skuli.
Dada zangu mnaotuma picha zenu mkiwa mazingira ya Kiafrika msife moyo mpaka sasa picha zenu ni bora kuliko za huyu Mzungu.
Naendelea kufuatilia.
Muolewaji Ni Mimi mwenyewe
Sakayo
Depal
mshipa
kapeace
Nimetupia fullView attachment 1219716View attachment 1219717
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Nyau mwenyewe huyuView attachment 1219723
NimeihifadhiNyau mwenyewe huyuView attachment 1219723