PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,437
Umelenga penyewe .. Hapa umewanyamazisha...Nacheza na akili zao si majinga haya... Wadada wenye akili na walio starabika huwezi kuta wanabishana icho kitu..
Kama Meeyah, na sakayo ni watu waliostarabika.. Hata kama ni kweli nimekosea wangetumia njia ya kistaarabu kuniambia
We angalia akili zao zilivyo mbovu wameshaanza kutumia personal attacks..
Hata mimi nimepoteza mda mwingi sana bora ningesoma biblia, Nilijua Jf wamestaaribika kumbe wapi..
Sasa hiyo ni mi mama ya miaka 30 inashindana na mimi miaka 20 ...ulafu unakuta ina mitoto mikubwa
Hahahaha we ndo umepanickNacheza na akili zao si majinga haya... Wadada wenye akili na walio starabika huwezi kuta wanabishana icho kitu..
Kama Meeyah, na sakayo ni watu waliostarabika.. Hata kama ni kweli nimekosea wangetumia njia ya kistaarabu kuniambia
We angalia akili zao zilivyo mbovu wameshaanza kutumia personal attacks..
Hata mimi nimepoteza mda mwingi sana bora ningesoma biblia, Nilijua Jf wamestaaribika kumbe wapi..
Sasa hiyo ni mi mama ya miaka 30 inashindana na mimi miaka 20 ...ulafu unakuta ina mitoto mikubwa
Wacha weeee msomali. Yangu IPO kwenye avatar
Asante, halafu sijaona picha yako jamani.
Sawa[emoji41]Kwa hiyo kwasababu una miaka 20 wao wana 30 ndio unataka kuonewa huruma sababu ni mdogo?
Kwanza huna adabu kama unajua unaobishana nao wamekuzidi na wana watoto wakubwa...kaa kimya!!
Mkuu serious kabisa unataka kuona pasi zetu???HALAFU TUSHACHOKA NA PICHA ZENU ZA KUCHA MIDOMO NA MIGUU UTASEMA TUPO KWENYE PAGE YA WAPAKA KUCHA RANGI NA WAUZA VIPOZI NA VIATU WAREMBO WA JF MNAKWAMA WAPI SIMAMENI TUONE CHURA TUONE MAUMBO TUONE REHEMA NA BARAKA ZA UUMBAJI
Mfano kama ile alioipiga miminimama ule ni mfano mzuri halafu msituchoshe maneno mengi
Vigezo na masharti kuzingatiwa
No money Wat do you expect mi tu du givingi yuu my kidneyKwahiyo umeniona mimi mlevi sana siyo??
Kwa hiyo kwasababu una miaka 20 wao wana 30 ndio unataka kuonewa huruma sababu ni mdogo?
Kwanza huna adabu kama unajua unaobishana nao wamekuzidi na wana watoto wakubwa...kaa kimya!!
YapSure??
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 1219798 yako wapii
Watasifia lipsticks ya [emoji125][emoji3601][emoji125][emoji3601][emoji125][emoji3601][emoji125][emoji3601][emoji125][emoji3601]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani huu uzi unateka, unafanya watu tusifanye kazi za watu, tusile, tusipike, tusioge..!! Mnafanya mambo yetu yasiende huku maana tuna kazi ya kazi ya kukimbizana tu na pages looqh'.!!
Wembamba sie jamani sasa tuweke mifupa 🙄HALAFU TUSHACHOKA NA PICHA ZENU ZA KUCHA MIDOMO NA MIGUU UTASEMA TUPO KWENYE PAGE YA WAPAKA KUCHA RANGI NA WAUZA VIPOZI NA VIATU WAREMBO WA JF MNAKWAMA WAPI SIMAMENI TUONE CHURA TUONE MAUMBO TUONE REHEMA NA BARAKA ZA UUMBAJI
Mfano kama ile alioipiga miminimama ule ni mfano mzuri halafu msituchoshe maneno mengi
Vigezo na masharti kuzingatiwa
Basi kaa hapo wasome miandiko ufurahi kwa raha zako
mpaka sasa sijapataga mtu mwenye ID humu naemfahamu huku kitaa
We weka kwa viwango vya upimaji nlivyokuwa navyo itajulikana ni pasi au wiggle wiggleMkuu serious kabisa unataka kuona pasi zetu???
Nitume ya sehemu gani ya mwili?We tuma bana ndiyo ntakuambia [emoji1] ...... Umeelewa hapo?
Halafu nimegundua picha nyingi zinazowekwa humu ni za viungo vya kutamanishana tu. Halafu huoni chote unabaki tu na hamu zako[emoji30][emoji30][emoji30][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mungu anawaonaYaani huu uzi unateka, unafanya watu tusifanye kazi za watu, tusile, tusipike, tusioge..!! Mnafanya mambo yetu yasiende huku maana tuna kazi ya kazi ya kukimbizana tu na pages looqh'.!!