Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nacheza na akili zao si majinga haya... Wadada wenye akili na walio starabika huwezi kuta wanabishana icho kitu..

Kama Meeyah, na sakayo ni watu waliostarabika.. Hata kama ni kweli nimekosea wangetumia njia ya kistaarabu kuniambia

We angalia akili zao zilivyo mbovu wameshaanza kutumia personal attacks..

Hata mimi nimepoteza mda mwingi sana bora ningesoma biblia, Nilijua Jf wamestaaribika kumbe wapi..

Sasa hiyo ni mi mama ya miaka 30 inashindana na mimi miaka 20 ...ulafu unakuta ina mitoto mikubwa
Umelenga penyewe .. Hapa umewanyamazisha...

Nakusihi wapotezee, DUNIANI hapa huwezi jua mambo ni mengi, sisi tupo nyuma ya keyboard
 
Nacheza na akili zao si majinga haya... Wadada wenye akili na walio starabika huwezi kuta wanabishana icho kitu..

Kama Meeyah, na sakayo ni watu waliostarabika.. Hata kama ni kweli nimekosea wangetumia njia ya kistaarabu kuniambia

We angalia akili zao zilivyo mbovu wameshaanza kutumia personal attacks..

Hata mimi nimepoteza mda mwingi sana bora ningesoma biblia, Nilijua Jf wamestaaribika kumbe wapi..

Sasa hiyo ni mi mama ya miaka 30 inashindana na mimi miaka 20 ...ulafu unakuta ina mitoto mikubwa
Hahahaha we ndo umepanick

Na hizo personal attack wewe ndo unazianzisha,, baada ya kuambiwa huna swaga hahaha mkuki kwa nguruwe kumbee eeh

Kwa heshima na taadhima ya uzi huu nimeweka silaha chini quote yangu ya mwisho kwako kuhusu huu mjadala

Asante sana mzee toboa
 
HALAFU TUSHACHOKA NA PICHA ZENU ZA KUCHA MIDOMO NA MIGUU UTASEMA TUPO KWENYE PAGE YA WAPAKA KUCHA RANGI NA WAUZA VIPOZI NA VIATU WAREMBO WA JF MNAKWAMA WAPI SIMAMENI TUONE CHURA TUONE MAUMBO TUONE REHEMA NA BARAKA ZA UUMBAJI

Mfano kama ile alioipiga miminimama ule ni mfano mzuri halafu msituchoshe maneno mengi

Vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Kwa hiyo kwasababu una miaka 20 wao wana 30 ndio unataka kuonewa huruma sababu ni mdogo?

Kwanza huna adabu kama unajua unaobishana nao wamekuzidi na wana watoto wakubwa...kaa kimya!!
Sawa[emoji41]
 
HALAFU TUSHACHOKA NA PICHA ZENU ZA KUCHA MIDOMO NA MIGUU UTASEMA TUPO KWENYE PAGE YA WAPAKA KUCHA RANGI NA WAUZA VIPOZI NA VIATU WAREMBO WA JF MNAKWAMA WAPI SIMAMENI TUONE CHURA TUONE MAUMBO TUONE REHEMA NA BARAKA ZA UUMBAJI

Mfano kama ile alioipiga miminimama ule ni mfano mzuri halafu msituchoshe maneno mengi

Vigezo na masharti kuzingatiwa
Mkuu serious kabisa unataka kuona pasi zetu???
 
HALAFU TUSHACHOKA NA PICHA ZENU ZA KUCHA MIDOMO NA MIGUU UTASEMA TUPO KWENYE PAGE YA WAPAKA KUCHA RANGI NA WAUZA VIPOZI NA VIATU WAREMBO WA JF MNAKWAMA WAPI SIMAMENI TUONE CHURA TUONE MAUMBO TUONE REHEMA NA BARAKA ZA UUMBAJI

Mfano kama ile alioipiga miminimama ule ni mfano mzuri halafu msituchoshe maneno mengi

Vigezo na masharti kuzingatiwa
Wembamba sie jamani sasa tuweke mifupa 🙄
 
Yaani huu uzi unateka, unafanya watu tusifanye kazi za watu, tusile, tusipike, tusioge..!! Mnafanya mambo yetu yasiende huku maana tuna kazi ya kazi ya kukimbizana tu na pages looqh'.!!
Halafu nimegundua picha nyingi zinazowekwa humu ni za viungo vya kutamanishana tu. Halafu huoni chote unabaki tu na hamu zako[emoji30][emoji30][emoji30][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mungu anawaona
 
Back
Top Bottom