Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Depal amekuja mfariji[emoji25]Una mwili mzuri kinoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Depal amekuja mfariji[emoji25]Una mwili mzuri kinoma
Nimesema msieke kucha kama ma vampires sema mmetafsiri vbayaMLEVi Mmoja anatubagua[emoji25]
Tatizo anaonekana ana dharau,jana nimesoma comment yake moja eti miguu aliyopost scorpio me inazidi picha za wote humu...ni maoni yake lakini yamekosa busara kabisa
Nashindwa kuulewa utasema page ya wauza viatu embu tupieni vitu bwanaAfu miguu imetaradadi Humu [emoji23][emoji23][emoji23]
Na nilijua ni kwa mazingila uliopo umechil mahala unafotoa kumbe hata za google poa tuHalafu nimegundua picha nyingi zinazowekwa humu ni za viungo vya kutamanishana tu. Halafu huoni chote unabaki tu na hamu zako[emoji30][emoji30][emoji30][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mungu anawaona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna raha kama unagombana na mtu alafu unamchora...
Mkuu hapo ndio nimekuelewa yani wewe majibu yako simple sana ... Wanakujibu kwa hasira na kujifariji, ngoja niishie hapa maana nishatukanwa na kugombana na wanawake siwezi
Kwa sisi wataalamu wa kusoma miandiko tumeshagundua hizi I'd ni mbili lakini zinamilikiwa na mtu mmoja.Nacheza na akili zao si majinga haya... Wadada wenye akili na walio starabika huwezi kuta wanabishana icho kitu..
Kama Meeyah, na sakayo ni watu waliostarabika.. Hata kama ni kweli nimekosea wangetumia njia ya kistaarabu kuniambia
We angalia akili zao zilivyo mbovu wameshaanza kutumia personal attacks..
Hata mimi nimepoteza mda mwingi sana bora ningesoma biblia, Nilijua Jf wamestaaribika kumbe wapi..
Sasa hiyo ni mi mama ya miaka 30 inashindana na mimi miaka 20 ...ulafu unakuta ina mitoto mikubwa
[emoji3][emoji3]
Hahahaha. Ngoja niwatumie salamu zenu from the Spanish friendsTani yako... Nogesha mada.. Pm ifurike
Ukweli mtupu.Wakaka Wajanja humu ni wa kuokota lakini wengi tuko nao kwa mtogole ila ndo wanaongoza kwa kutuponda
Aisee, punguza ukali wa maneno dadaHata mke wako haoni ndani sio?
Endelea kupigia nyeto umesogezewa huduma karibu.
Nilivyouangalia nikaimagine mguu mwenzie mfupi utakavyokuwa, that's y nimeupendaKwa wapenda mashine huu mguu una mguu mwenzie mfupi
Utazionapoapoa usijali
za kwako sizioni ujue
Umetudiss sisi vimbaumbauNimesema msieke kucha kama ma vampires sema mmetafsiri vbaya
Huu mfano ni mzuri toto limejimwaga Kama jokofuNimetuma Sasa hivi Sasa jiandae kwa mrogo wangu.[emoji23][emoji23]View attachment 1219791
Umeshinda basi ha ha haaa"Kwa wapenda mashine" maana yake mi simo humo we manga
Haha hamna unajua kila mtu na hobby yakeIla deeply inside your tinny little heart unajua kabisa nyama nzuri ni ile yenye steki za kutosha
Hannah nia yake akutoe kwenye mudi, usimjibu tenaKwa sisi wataalamu wa kusoma miandiko tumeshagundua hizi I'd ni mbili lakini zinamilikiwa na mtu mmoja.
.
Angalieni aina ya uandishi na vi ....
.
Umeona haupati backup yoyote kwa wanaume ukakumbuka una id mbili acha ujipigie assist.
.
Na mimi nimeona picha yako ni bonge la mshamba yani. Upo hovyo hovo haujui hata kuvaa. Umekaa kama mtu wa zamani.
.
Una miaka 20 mbona picha yako inaonekana kama mzee? Kweli ukiwa mjinga unazeeka ingali una umri mdogo.