Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
NimefutaaAisee, punguza ukali wa maneno dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NimefutaaAisee, punguza ukali wa maneno dada
Nakusubiria kaka angu mzuri 😛Aisee, punguza ukali wa maneno dada
Nice girlNimefutaa
Nimeona msabwanda alikuwa ni miminimama utasema amebeba sayari mbili za dunia huko nyuma[emoji23][emoji23] naogopa mie kutupia. Kuna Dada alitupia chura amazing, ulikuwa wapi?
Ubarikiwe dadaNimefutaa
Imemchoma kama pasiiiii[emoji28][emoji28][emoji28]Hahahaha we ndo umepanick
Na hizo personal attack wewe ndo unazianzisha,, baada ya kuambiwa huna swaga hahaha mkuki kwa nguruwe kumbee eeh
Kwa heshima na taadhima ya uzi huu nimeweka silaha chini quote yangu ya mwisho kwako kuhusu huu mjadala
Asante sana mzee toboa
😂😂😂 we Dada kibokoNimetumiwa japo yeye kaona aibu akaenda kuifuta.
Umesema ni mkaka wa kawaida?
Acha utani haujaona kasema ana miaka 20? Jitu lipo kama mzee wa miaka 70 huku ana miaka 20 bado unaona ni "mkaka wa kawaida"?
Alivovaa sasa kama anaenda kuchunga ng'ombe na hapo ndio kajipigilia ili apost picha huku. Nimechekaaaa
Nimepunguza kuropoka kidogo?Ha ha haaa huyo namjua huongea apendavyo japo kapunguza kidogo
Nimeona msabwanda alikuwa ni miminimama utasema amebeba sayari mbili za dunia huko nyuma
Hahah inakuja..mtandao upo slow,, inaload hapaNakusubiria kaka angu mzuri [emoji14]
Ya kukuona hafu nimekunja nne mahala nimeselfie wananambia mguu una gagaNimemalizana nae sasa.
Maana na mimi napenda ugomvi kama chakula vile[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Hauna bahati gani Manga.
Nimepunguza kuropoka kidogo?
Jamani Manga usinifanyie hivo.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] we Dada kiboko