Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha we ndo umepanick

Na hizo personal attack wewe ndo unazianzisha,, baada ya kuambiwa huna swaga hahaha mkuki kwa nguruwe kumbee eeh

Kwa heshima na taadhima ya uzi huu nimeweka silaha chini quote yangu ya mwisho kwako kuhusu huu mjadala

Asante sana mzee toboa
Imemchoma kama pasiiiii[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nimetumiwa japo yeye kaona aibu akaenda kuifuta.
Umesema ni mkaka wa kawaida?
Acha utani haujaona kasema ana miaka 20? Jitu lipo kama mzee wa miaka 70 huku ana miaka 20 bado unaona ni "mkaka wa kawaida"?
Alivovaa sasa kama anaenda kuchunga ng'ombe na hapo ndio kajipigilia ili apost picha huku. Nimechekaaaa
😂😂😂 we Dada kiboko
 
Back
Top Bottom