Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sikuikariri post namba ngapi
Na sikujisumbua kuisave sababu sina hulka hiyo ya ushukununu

Ila alikuwa ufukweni na begi kwa nyuma ni mkaka wa kawaida ila hakuwa na swaga classic anazojitia kudolishia
Nimetumiwa japo yeye kaona aibu akaenda kuifuta.
Umesema ni mkaka wa kawaida?
Acha utani haujaona kasema ana miaka 20? Jitu lipo kama mzee wa miaka 70 huku ana miaka 20 bado unaona ni "mkaka wa kawaida"?
Alivovaa sasa kama anaenda kuchunga ng'ombe na hapo ndio kajipigilia ili apost picha huku. Nimechekaaaa
 
26173923_642826042775127_2027088959089861747_o.jpg
 
Kwa sisi wataalamu wa kusoma miandiko tumeshagundua hizi I'd ni mbili lakini zinamilikiwa na mtu mmoja.
.
Angalieni aina ya uandishi na vi ....
.
Umeona haupati backup yoyote kwa wanaume ukakumbuka una id mbili acha ujipigie assist.
.
Na mimi nimeona picha yako ni bonge la mshamba yani. Upo hovyo hovo haujui hata kuvaa. Umekaa kama mtu wa zamani.
.
Una miaka 20 mbona picha yako inaonekana kama mzee? Kweli ukiwa mjinga unazeeka ingali una umri mdogo.
Msamehee mtoto tafazali 😂😂
 
Kwa sisi wataalamu wa kusoma miandiko tumeshagundua hizi I'd ni mbili lakini zinamilikiwa na mtu mmoja.
.
Angalieni aina ya uandishi na vi ....
.
Umeona haupati backup yoyote kwa wanaume ukakumbuka una id mbili acha ujipigie assist.
.
Na mimi nimeona picha yako ni bonge la mshamba yani. Upo hovyo hovo haujui hata kuvaa. Umekaa kama mtu wa zamani.
.
Una miaka 20 mbona picha yako inaonekana kama mzee? Kweli ukiwa mjinga unazeeka ingali una umri mdogo.
Ishia hapo tafadhali.

Hafu mbona mii sina bahati?
 
Nimetumiwa japo yeye kaona aibu akaenda kuifuta.
Umesema ni mkaka wa kawaida?
Acha utani haujaona kasema ana miaka 20? Jitu lipo kama mzee wa miaka 70 huku ana miaka 20 bado unaona ni "mkaka wa kawaida"?
Alivovaa sasa kama anaenda kuchunga ng'ombe na hapo ndio kajipigilia ili apost picha huku. Nimechekaaaa
Hahahahah umenizidi wehu walahi tena
 
Miminimama usipopata mume leo kaogee baharini kwa pic za leo mpaka saiv kumi na robo alasiri umetikisa.....tunaendelea
Kwa Lile umbo hapo ndo unapojua bara letu tukufu la mama Africa limebarikiwa


Yule aliesema wadada wa huku wabaya hivi alipitia huu uzi
 
Back
Top Bottom